Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Mwanamke anatongozwa popote Ni ujasiri wako Tu,

Unaweza kuwa naye bar na chooni watu wakatongoza,,

Labda awe na shape ya sanam la Michelin,
Kidogo naweza vumilia tukasafiri salama!

Nilikuwa na maanisha kuomba tunda la kati....na sio kuanzisha mahusiano......

Yaani umemkuta tu mwanamke kwenye siti ya basi na kuanza kuchombeza ili upate tunda la kati kwa muda huo huo.....
 
Kuna mwanangu pia alikaa seat moja na mtoto mkali,sema Alisumbuliwa sna na hyo Demu...
Hizi kucha zao za BANDIA zilimpa kazi sana mwana,maana demu alikua anamkwaruza nazo Kinamna flan hv,mpk ikabd jamaa avunge Kalala ili kukwepa huo mtihani
So always ktk safari ukikutana na mtoto mkali nabidi utulize mihemko
Mtoto mkali ana kucha Bandia!!!!......kumbe nimechelewa.
 
Kuna mkaka niliwah kukaa nae siti moja aisee safari ilikua fupi aisee nilitamani niendelee tu ila ndio hivyo nikamuacha aende zake
 
Tukiachilia mbali suala la soksi, ule ujasiri wa kukutana na mtu siku ya kwanza na kupiga kazi unatoka wapi? Nachukulia suala la mapenzi very serious sio kila mtu unaenda nae na sio suala la yeye kutaka, ntanunua kila kitu tutapiga story nta clear bill kama jamaa yangu kwenye safari yake lakini haimaanishi tupige kazi.
Nyie Wasamaria ndo huwa mnajinyonga pindi
mwanamke akiku-disappoint kidogo tu.

Utachukuliaje mapenzi so serious hivyo?
Na kazi uichukulieje sasa?
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana, niliwahi kusafiri kutoka Dar kwenda Mwanza nilikaa na binti mzuri hatari, huwa sifanyi kosa mpaka gairo kila mtu kachuna wakati huo anasinzia kwa kuegemea bega langu, kaka nilikuwa mnara hatari!! Kufika Dodoma nikanunua apple [emoji519] nje nikamletea, oh my God tulipofika mwanza....................
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana, niliwahi kusafiri kutoka Dar kwenda Mwanza nilikaa na binti mzuri hatari, huwa sifanyi kosa mpaka gairo kila mtu kachuna wakati huo anasinzia kwa kuegemea bega langu, kaka nilikuwa mnara hatari!! Kufika Dodoma nikanunua apple [emoji519] nje nikamletea, oh my God tulipofika mwanza....................
mkuu apple tuu akavua? mbona huyo alikua mrahisi sana?
 
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian naumia maana hoteln pale nimeclere bill.. ila na enjoy sana ila nimejifunza kitu Dem wako au wife akisafiri kwenye hizi bus akibahatika kukaa na mwanaume ni rahis sana kutongozwa

Umeniuwa hapo ulipo sema 'nimeclere'
 
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian naumia maana hoteln pale nimeclere bill.. ila na enjoy sana ila nimejifunza kitu Dem wako au wife akisafiri kwenye hizi bus akibahatika kukaa na mwanaume ni rahis sana kutongozwa
yap. we kaa uinjoy hpo na hyo dem siti pemben thn na wko sikumoja atasafiri tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana mama chanja wangu hasafiri peke yake,lazima niende nae au nimpe powerbank (mtoto) akae nae ,tena powerbank yangu kwa umbea ikifika tu home bila kuuliza itanipa hadithi yote,

ukiona mtu anafurahia kukaa siti 1 na mwanamke kwenye bus jua huyo ni domo zege tu
Ha ha ha
 
Wanaume wengine bwana. sasa bill gani hapo njian? chips kuku na soda? hicho kisoda na kichps kuku ndio unakuja kulialia hapa?

na nyie wadada angalieni wanaume wanawapa ofa,
Ha haaa
 
Back
Top Bottom