abdallah mbwana
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 203
- 189
kwa kuwa ndiyo wanawake walaini kuliko wote ndiyo maana wanafanyiwa hivyo
unacheka nini weyee? muwaga mnaangalia na type za wanaume wanawaalika ofa.Ha haaa
Hajazoea kutoa huyounacheka nini weyee? muwaga mnaangalia na type za wanaume wanawaalika ofa.
huyu kanunua chps vumbi hapo njiani kaja kujinasibu hapa
mfundishe kutoaHajazoea kutoa huyo
Itabidi aanze kunihonga mpaka azoeemfundishe kutoa
em jaribu kuwa nae karibu ila uchukue tahadhariItabidi aanze kunihonga mpaka azoee
Bora huyo kuliko upande na anae nuka kikwapa au mdomo halafu sa ukute ni mwongeaji sana du! Wenzako wanaenjoy safari ww unaomboleza kwenye city yako kimya kimya hahaha!inakuwa ngumu sana upande na mmama mwenye watoto wadogo wanalia na kula humo basini na kila saa ukute anapokea simu na kuongea kwa makelele huku mtoto analia mara akuombe umpakatie mtoto wengne wanakulalia yelewiiiiiiiiiiiii ukute una kausingizi ulikeshea jana yake utajuutra
Bora huyo kuliko upande na anae nuka kikwapa au mdomo halafu sa ukute ni mwongeaji sana du! Wenzako wanaenjoy safari ww unaomboleza kwenye city yako kimya kimya hahaha!
hahahahaha umenichekesha sana mkuu heeBora huyo kuliko upande na anae nuka kikwapa au mdomo halafu sa ukute ni mwongeaji sana du! Wenzako wanaenjoy safari ww unaomboleza kwenye city yako kimya kimya hahaha!
Huyu hashindwi kuja kunianika huyu nimestuka tehem jaribu kuwa nae karibu ila uchukue tahadhari
ole wako ungethubutu. bora umeshtukaHuyu hashindwi kuja kunianika huyu nimestuka teh
Machale kunndesaaole wako ungethubutu. bora umeshtuka
HahahaBora huyo kuliko upande na anae nuka kikwapa au mdomo halafu sa ukute ni mwongeaji sana du! Wenzako wanaenjoy safari ww unaomboleza kwenye city yako kimya kimya hahaha!
Hahaha ukute upo kwenye ngorika lina hadi vigoda utsoma nambaBora huyo kuliko upande na anae nuka kikwapa au mdomo halafu sa ukute ni mwongeaji sana du! Wenzako wanaenjoy safari ww unaomboleza kwenye city yako kimya kimya hahaha!
ama kweli wewe ni BONGOLALAKweli kabisa ila zamani safari za usiku ilikua Bomba sana,unapima na oil kabisa
ha ha ha haa,unataka kumzibua chemba nini mkuu?nishamsogeza dirishani mkuu giza lishaingia nataka Anza fanya yangu
mkuu yule mtoto ni kisu hata ungekua ww usingeacha aisee daa-ndo kishakukata ivo...mkuu yule mtoto ni kisu hata ungekua ww usingeacha aisee daa
kimenikataje mkuumkuu yule mtoto ni kisu hata ungekua ww usingeacha aisee daa-ndo kishakukata ivo...