Ukisafiri utakuta mke wako ametembea na watu wengine

Tutafute pesa tu ya Ngoswe tumwachie Ngoswe mwaka bado mchanga tusije kusuntana
 
Mkuu nimwambie nani teka yaan mi nimfate mke wa mtu nimwambie aheshimu kitanda cha mumewe duuh mkuu seriously
😅😅 Basi endelea kushuhudia mwamba akifokonyoa mzigo..
 
Mkuu ebu tuambie Ukweli hatutaenda kukusemea kwa mjeda😂
 

Mambo nimengi mkuu ombamungu akuepushe usikumbane nayo maana ni kisanga na maumivu yake weacha tu watu wapige risasi mi hata sishangai
 
Issue ni kuwa maisha ndivyo yalivyo tunabadilishana tu hizi mbunye ni ya kwako ilukiwa nayo-but watu hatumwezi kushindwa kufanya mambo mengine eti kisa ukimwacha peke yake ataliwa.
 
Mambo nimengi mkuu ombamungu akuepushe usikumbane nayo maana ni kisanga na maumivu yake weacha tu watu wapige risasi mi hata sishangai
Hayo mambo yanataka roho ya chuma kuyavumilia mkuu
 
Issue ni kuwa maisha ndivyo yalivyo tunabadilishana tu hizi mbunye ni ya kwako ilukiwa nayo-but watu hatumwezi kushindwa kufanya mambo mengine eti kisa ukimwacha peke yake ataliwa.

Yeah Nikweli mkuu
 
Ukiwa nae hujasafiri ndio haliwi?

Unatumia mifano ya hao kaka zako wanaokaa nje mwaka kuhalalisha mawazo yako mgando dogo?

Kuliwa ni hulka ya mtu tu, anaweza kuliwa uliye nae chumba kimoja kutwa.
JF imejaa watoto wa shule. Kwani hujalipiwa Ada wewe urudi shuleni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…