under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 389
- 595
Hapa kuna cha kujifunzaWake zenu ndo wanataka nyie mnapiga wahuni.unajua huwa wanawaambiaje mi nakupa ila ukishikwa utajua mwenyewe muhuni anasema we nipe mi sishikwagi ninayo kizizi [emoji23][emoji23][emoji23]umkimshika mama anaenda kwingine hivyo hivyo mpaka mke wako unamkuta anakatiwa na mkubwa wa kazi unarudi home unampiga risasi na wewe uwoga wa jela unajimaliza...swala ni moja akichepuka achana nae hafai
KWA mke kipi kinamfunga kuliwaKuna mke na malaya huyo analiwa kwa jiran ni malaya
Msitu wa nyumbani
Mkuu, mimi sikufanya chochote. Nilidhani katumwa. Halafu mi sipendi kugaragazwa kwenye utope. 😂Mkuu ebu tuambie Ukweli hatutaenda kukusemea kwa mjeda😂
Ooh, my apology. Samahani mkuu, muda wote najua nateta na mleta mada. Ni misquote, samahani sana mkuuSijui kwann unazidi kuni quote kwa kunihusisha na mtoa uzi. Sijui kabisa yaani.
Ni kuvaa condom tu hamba namna🤷🏽♂️Tufanyaje sasa ndugu..hakuna namna
Sema nyie hamjui wao pia wako Kama wewe mwanaume. Yaani jinsi unavyoweza tamani mke ama mpenzi wa rafiki yako kipenzi naye anatamani pia yaani Kama wewe pia. Anaanza kujichangamsha kwake. Anaanza kumuomba ushauri ili apate Ile aura take sijui Kama unanielewa lakini. Wanapanga mbali. Enzi fulani wake za watu walikuwa wakitumiwa tiketi za ndege to and from mwanza to dar wanaliwa wanarudi.KWA mke kipi kinamfunga kuliwa
Mbona Kama unakubali kinyonge accept it confidently utakuwa na amani mno bana.Tufanyaje sasa ndugu..hakuna namna
Mke kuliwa hyo ni pie , hata ushinde naye Sana Sana utasaidia kupunguza round za yeye kuliwa , Ila kuchapiwa hyo kawaida Sana ... Mfalme Daudi mwenyewe alichapiwa mke wake na yeye akamchapia Askari wake Leo hii wewe ndo ujifanye unajua kulinda 😁😁😁Sema nyie hamjui wao pia wako Kama wewe mwanaume. Yaani jinsi unavyoweza tamani mke ama mpenzi wa rafiki yako kipenzi naye anatamani pia yaani Kama wewe pia. Anaanza kujichangamsha kwake. Anaanza kumuomba ushauri ili apate Ile aura take sijui Kama unanielewa lakini. Wanapanga mbali. Enzi fulani wake za watu walikuwa wakitumiwa tiketi za ndege to and from mwanza to dar wanaliwa wanarudi.
Unataka udhibiti rafiki asiliwe ,funga Ile wanagandana Sasa ama muandikie bodigadi umlipe Mana posi is a life or death thing.
Mwanamke kuliwa katika ndoa Ni sawa kutaka kufanya biashara bila ya hasara ama ulime uvune vyote pasipo kuliwa na ndege mbona simple concept ya nature sema watu wanajifanya kuwa hawataki kuielewa.
Sema bana mind zetu negative sides hazitaki kuziona ama kuzisikia.
Mie nimekuta stori kuwa Bibi alikuwa akiletewa stori kuwa nimemuona fulani wapo na fulani so babu ana mchepuko. So Bibi anamaindi hao wanaomletea taarifa kuwa waache kumpigia kelele Kama vipi na wao wakampe.
Muhimu ni kumuomba MUNGU tu akuepushe usishuhudie akichepuka.Sema nyie hamjui wao pia wako Kama wewe mwanaume. Yaani jinsi unavyoweza tamani mke ama mpenzi wa rafiki yako kipenzi naye anatamani pia yaani Kama wewe pia. Anaanza kujichangamsha kwake. Anaanza kumuomba ushauri ili apate Ile aura take sijui Kama unanielewa lakini. Wanapanga mbali. Enzi fulani wake za watu walikuwa wakitumiwa tiketi za ndege to and from mwanza to dar wanaliwa wanarudi.
Unataka udhibiti rafiki asiliwe ,funga Ile wanagandana Sasa ama muandikie bodigadi umlipe Mana posi is a life or death thing.
Mwanamke kuliwa katika ndoa Ni sawa kutaka kufanya biashara bila ya hasara ama ulime uvune vyote pasipo kuliwa na ndege mbona simple concept ya nature sema watu wanajifanya kuwa hawataki kuielewa.
Sema bana mind zetu negative sides hazitaki kuziona ama kuzisikia.
Mie nimekuta stori kuwa Bibi alikuwa akiletewa stori kuwa nimemuona fulani wapo na fulani so babu ana mchepuko. So Bibi anamaindi hao wanaomletea taarifa kuwa waache kumpigia kelele Kama vipi na wao wakampe.
Hapo kuomba MUNGU ndio point. Yaani Mambo mengi yaani kila Jambo lipo Kama lilivyo na huwa Ni nje ya upeo wetu ww fahamu. Huwa Kuna sababu ya kila Jambo kutokea.Muhimu ni kumuomba MUNGU tu akuepushe usishuhudie akichepuka.
Ukitaka kulijua hilo fanya track call system ya kufuatilia namba yake ya simu mbona utooa.
Mimi namuomba Mungu azidi kunifunika na pazia nisijue.
Nilishajiandaa Kisaikoloji pia hii itasaidia nisiingie jela kwa upumbavu maadamu haina makombo.
Mimi huwa naachia natureHapo kuomba MUNGU ndio point. Yaani Mambo mengi yaani kila Jambo lipo Kama lilivyo na huwa Ni nje ya upeo wetu ww fahamu. Huwa Kuna sababu ya kila Jambo kutokea.
Wapo mpaka wanakuaga kuwa leo naenda kwa mme mwenzako naye ananihitaji so are you readyEti mtu anaogopa kuoa pisi kali eti ataliwa, nani kakuambia wasio pisi kali awaliwi.
Oa furaha ya moyo kuliwa kupo tu. Kama utaki kupata hasara usifanye biashara. Utaki kuliwa usioe.
Unamwambia hamna shida mpeleke UTI tu mwenzanguWapo mpaka wanakuaga kuwa leo naenda kwa mme mwenzako naye ananihitaji so are you ready
Mbona Kama unakubali kinyonge accept it confidently utakuwa na amani mno bana.
Anza ku visualize mabaya kama umemfumania chumbani kwako anabinuliwa ili utengeneze immunity imara ili siku ukikutana nayo yawe Ni ya kawaida. Yaani visualize kabisa unamuona anapigwa anabinuliwa naye anagugumia kwa utamu mkubwa mno unabakia unacheka unasema this is creation. It's beyond our mind of understanding unayaacha ili uishi kesho ama unataka kuifia mbususu Kama nyegere sijui yule mnayama hata Jani likigusa tupu ya jike lake Ilo Jani litapigwa na kung'olewa kabisa ili lisiwepo Mana lisije likamgusa tena
Ipo bana just try to immunize yourself mkuu.Heheheh mkuu hakuna immunity kwenye hizi mambo acha kabsa mkuu usiombe
Mke kuliwa hyo ni pie , hata ushinde naye Sana Sana utasaidia kupunguza round za yeye kuliwa , Ila kuchapiwa hyo kawaida Sana ... Mfalme Daudi mwenyewe alichapiwa mke wake na yeye akamchapia Askari wake Leo hii wewe ndo ujifanye unajua kulinda [emoji16][emoji16][emoji16]