Sema nyie hamjui wao pia wako Kama wewe mwanaume. Yaani jinsi unavyoweza tamani mke ama mpenzi wa rafiki yako kipenzi naye anatamani pia yaani Kama wewe pia. Anaanza kujichangamsha kwake. Anaanza kumuomba ushauri ili apate Ile aura take sijui Kama unanielewa lakini. Wanapanga mbali. Enzi fulani wake za watu walikuwa wakitumiwa tiketi za ndege to and from mwanza to dar wanaliwa wanarudi.
Unataka udhibiti rafiki asiliwe ,funga Ile wanagandana Sasa ama muandikie bodigadi umlipe Mana posi is a life or death thing.
Mwanamke kuliwa katika ndoa Ni sawa kutaka kufanya biashara bila ya hasara ama ulime uvune vyote pasipo kuliwa na ndege mbona simple concept ya nature sema watu wanajifanya kuwa hawataki kuielewa.
Sema bana mind zetu negative sides hazitaki kuziona ama kuzisikia.
Mie nimekuta stori kuwa Bibi alikuwa akiletewa stori kuwa nimemuona fulani wapo na fulani so babu ana mchepuko. So Bibi anamaindi hao wanaomletea taarifa kuwa waache kumpigia kelele Kama vipi na wao wakampe.