Ukisafiri utakuta mke wako ametembea na watu wengine


Mungu aendelee kukusimamia
 
Eti mtu anaogopa kuoa pisi kali eti ataliwa, nani kakuambia wasio pisi kali awaliwi.
Oa furaha ya moyo kuliwa kupo tu. Kama utaki kupata hasara usifanye biashara. Utaki kuliwa usioe.

Ukosahihi ila kuliwa ni tabia ya mwanamke mwenyew tu
 
Hapo kuomba MUNGU ndio point. Yaani Mambo mengi yaani kila Jambo lipo Kama lilivyo na huwa Ni nje ya upeo wetu ww fahamu. Huwa Kuna sababu ya kila Jambo kutokea.

Exactly mkuu sikupingi
 
Ipo bana just try to immunize yourself mkuu.

Unaweza kujijenga kisaikolojia sawa na ku make sure una be prepared for anything kwa mkeo lakin mkuu usiombe ugongewe na ukafumania or ukajua heeh utakuja kuniambia one day kwamba immunity it does work au ni vip
 
Me namuombea ashikwe ili ajue mke wa mtu sumu
 
Mlio na mke muajiriwa dodoma na huwa anaaga semina Mara kwa Mara anza kunoa panga huko uliko[emoji3061]
 
Msishindane na nature, ukiona wako analiwa na ww tafuta mnyonge wako ummegee. Full stop[emoji3061]
 
Acha roho za kimasikini usifanye mishe kisa mwanamke? Mkae pamoja mle mawe na ataendelea kuliwa tu
 
Natamani adakwe huyo boda apakwe kilainishi huko kule nyuma
 
Elimu ya mapenzi bado nu finyu na Duni Kwa Watu Wengi.

MKe kuliwa zipo sababu nyingi na inategemea.

Unaweza muacha Mkeo na kusafiri Kwa miaka mpaka mitatu na asiliwe. Muda huohuo unaweza kuwa unaishi naye na unakaa naye muda wote lakini akawa analiwa na Ndugu yako WA karibu humohumo ndani ya nyumba au mlinzi wa nyumba yenu.

Mapenzi yanakanuni zake,

Kuna kupendana Sana. Wote mpendane Saba. Hii ndio huzuia Mkeo asichepuke.

Pili, kuna kukinaiana/kuchokana. Hii huchangia pakubwa MKE Kutoka.
Sasa Hii inanamna ya kuitatua.
 
Mganga hajigangi, ulitoa story ya mwenzio na wewe sasa wamekulia mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…