JF,
Jamani me katika maisha ya mapenzi ni megndua kitu.
mara nyingi mwanamke akitongozwa alaf akakataa hua anaonekana
kama ametulia na ni mwadilif, lakini mwanaume akitongozwa na
mwanamke(kitu ambachi kimeanza kushika kasi siku hizi) alaf akakataa
hua anaoneka mwoga, dhaifu au mshamba.
Kwanza, wewe mJF unalionaje hili, linaukweli kiasi gani kwako?
na ni kwa nini hua hivi??
Jamani me katika maisha ya mapenzi ni megndua kitu.
mara nyingi mwanamke akitongozwa alaf akakataa hua anaonekana
kama ametulia na ni mwadilif, lakini mwanaume akitongozwa na
mwanamke(kitu ambachi kimeanza kushika kasi siku hizi) alaf akakataa
hua anaoneka mwoga, dhaifu au mshamba.
Kwanza, wewe mJF unalionaje hili, linaukweli kiasi gani kwako?
na ni kwa nini hua hivi??