Ukisex na mwanamke aliyebreed kuna magonjwa utapata kwenye kibofu.

Ukisex na mwanamke aliyebreed kuna magonjwa utapata kwenye kibofu.

Natumai umejibiwa swali lako...lakini ukitaka kiswanglish sema 'anableed', sio 'anabreed'. Ni vitu viwili tofauti.

Kabisa mkuu hapo umeenda sawa sasa......

Ni uchafu ulioje kufanya wakati female anabreed.

Naona mkuu unaongelea kitu kingine tofauti na topic, nadhani ni bleed na sio breed.

huyu mwana JF anaomba ushauri naona wote mnamponda tu kuna kuzidiwa wakati mwingine, lakini upande wa pili we mwanamke una breed kwanini unamvulia mtu chupi.... kuwa na msimamo upende mwili wako, heshimu maumbile yako..

Daaa again mkuu nadhani una mean correct ila ni tofauti na unavyofikiria ni ku bleed na sio breed, ni maana tofauti kabisa....
 
mhh kwenda shule cio kujua mambo yote na ndo maana tunajifunza kila siku

mesage uliyopewa ni kuwa wewe bado mwanafunzi...so kasome kwanza. ukikua maswali ya kitoto kama haya, hutoyaleta jamvini manake utakuwa ushaelimishwa na bila shaka utakuwa umeshaelimika! jamani msiongee sana kwa lkugha za kikubwa, kuna watu wanaachwa kapa!
 
ukweli ni muhimu kujua siku za mke wako nakujiepusha na haya yote ngono na tamaa haziishi hata kama sio leo tuwe na subira mkeo yupo huyo ni wako
 
Back
Top Bottom