Ukishajiunga na JF tayari unakuwa na sifa hizi

Ukishajiunga na JF tayari unakuwa na sifa hizi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Sifa za mwanaJF

1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.

2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.

3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.

4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.

5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.

6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.

7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.

8. Kila mwanaJF ni jasusi hata kama hayupo kwenye kitengo. Humu kuna nyuzi za utabiri wa mambo makubwa na yakatokea.
 
Sio kweli
Sifa ni hiziiii....

1. Ujuaji kila kitu
2.ubishi na kutokubali kushindwa
3.utajiri
4. Kuwa mchukia serikali, yaani hata mods wakifuta uzi wako unaishitumu serikali ya ccm
5.Mpinga singlemother hii kwa ME😄
 
Screenshot_20250207-234108.jpg
 
Sifa za mwanaJF

1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.

2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.

3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.

4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.

5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.

6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.

7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.

Huu ni uwongo
 
Ni ngumu sana mtu kuongelea kushindwa kwake kuliko alipofanikiwa kwa sababu ni nature ya maisha. Mafanikio yanatangazwa Ila shida tunazionea aibu..

Hata hivyo kuna thread nyingi tu watu wanaongelea struggles zao za kimaisha kwa hiyo ni sawa tu so long as ni wakweli na wanatupa hamasa na masomo ya kufanikiwa zaidi.
 
Nilisoma KLF Kidugala ila nimekuja town nimetopea kwenye ufundi magari Mwenge hapa. Pamoja na hayo yote nje ya nchi sijawahi kufika nimeishia nakonde getini chuo nilienda zoom polytechnic na magerejini tegeta, sikusoma yudizim labda yule mwanajf mwenye jina la dawa za binadamu anaehororojokaga matusi. ova
 
Sifa za mwanaJF

1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.

2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.

3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.

4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.

5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.

6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.

7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.
Uongo huo
 
Kwa vile umetumia maneno wote na kila mtu, unaweza ukatuambia hawa wasio na pesa ni kina nani?

 
Back
Top Bottom