Ukishajua hila zao, utafanya nini?

Ukishajua hila zao, utafanya nini?

Ni heri na bahati kubwa kwake hilo kalijua mapema, asipoteze muda hata Kama anampenda kiasi gani huyo manzi wake, apige chini huku akiwa amejipanga vyema. Ni mhanga wa mambo hayo, na yamenitesa zaidi ya miaka mitatu...
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
 
Oky, aisee! Piga chini.
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
 
Kimbia mbio ndefu katika hiyo familia vinginevyo unaenda kutengeneza familia itakayokuwa na wachawi miongoni mwenu
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
 
Amwambie binti ili ajue sasa mchezo wa ndugu zake na ikiwezekana wahame hapo kabsaa bila ata kuwatarifu
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
 
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
Amemweleza kwa modality ipi? Kwanza ningekuwa mimi kama binti nampenda ningemshawishi kwanza nikaishi au kuhama nae pahala halafu wakato tuko bond tayari mbali na hao mafedhui ndo namweleza taratibu.

Ila kama kamwambia huyu katoka kwao na jamaa yuko kwake basi binti lazima akimbie.
 
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.

Mbona unakomaa kuwa ni jamaa wakati ni wewe?mbona mnatuchukulia poa sana sisi wahenga wa Jf?
 
Amemweleza kwa modality ipi? Kwanza ningekuwa mimi kama binti nampenda ningemshawishi kwanza nikaishi au kuhama nae pahala halafu wakato tuko bond tayari mbali na hao mafedhui ndo namweleza taratibu.

Ila kama kamwambia huyu katoka kwao na jamaa yuko kwake basi binti lazima akimbie.
Alimuita jana na huyo binti anaishi kwao.
 
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
Basi kama ni hivyo hayupo pamoja nao,aendelee nae tu ila anatakiwa kukaa nao mbali sana na ikiwalazimu wawe watu wa ibada sana kwani lazima watataka kujipanga kuwaangusha tu
 
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
sasa hapo bado ajatatua tatizo labda wangekimbia wote. Sasa hapo wazaz wa huyo dem watamlaum jamaa kwakuhis yeye ndio kamshawishi akimbie.
Ilitakiwa wahame mkoa wote
 
Mkuu hii ishu jamaa jana jioni kamwita bidada kamweleza kila kitu na kumuonesha baadhi ya uthibitisho. Binti amelia sana usiku kwa mujibu wa maelezo ya jamaa...akarudi kwao.
Leo asubuhi binti ametuma sms kwa jamaa na kumwambia ameamua kuhama mkoa na simu amezima na hakusema anaenda wapi. Hapa ndio jamaa amebaki ameduwaa tu.
hapo binti kakimbia aibu za ndugu zake
 
Back
Top Bottom