Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Msanii idris sultan na mwezake walifikishwa mahakama ya kisutu kwa makosa ya matumizi mabaya ya mtandao, moja ya makosa waliyokuwa nayo ni pamoja na yeye Idris kutumia namba isiyo yake, na mwenzake alishtakiwa kwa kuruhusu line yake itumiwe na mtu mwingine. Nakumbuka mahakama ya Kisutu iliwapa onyo.
Sasa kama moja ya kosa alilokutwa nalo Idris na mwenzake la Idris kutumia line isiyokuwa yake na mwenzake kushtakiwa kwa kuruhusu line yake itumiwe na mtu mwingine.
Ninachotaka kumweleza Waziri Kamwele, na yeye azielekeze Taasisi au Mamlaka zinazozisimamia kampuni za simu hasa TCRA nawao wachukue hatua ya kuzionya baadhi ya kampuni za simu zinazofanya yafuatayo.
1. kugawa namba za wateja wa makampuni yao kwa watu au kampuni nakuanza kutuma matangazo yao ya michezo ya kubahatisha na utapeli wanaofanyiwa watanzania. Mf. Unaambiwa namba yako imeshinda 5ml. Hivyo tuma shilingi kadhaa ili ukomboe (baadhi yawatu wanaibiwa)
2. Unashtukia namba mfano 5555 imeleta ujumbe namba yako imejishindia bahati nasibu ya tsh. Mf.20ml. Tuma neno au herufi au namba kwenda namba flan ili kushiriki bule naukifanya hivyo tu! Ujue kilasiku watakuwa wanakuchaji pesa ktk account yko. Pamoja na mambo mengine mengi tu ambayo yameperekea mataperi wa tuma pesa kwenye namba hii kutoisha pamoja na usajiri huu mpya.
Kama idris sultani alishtakiwa kwa makosa niliyoyataja yy na mwenzake yakiwemo na mengine hamuoni nanyie mnatakiwa kuyaonya makampuni yasimu yanayo gawa namba za watanzania bila ridhaa yao?
Hayo nimachache tu lakini yako mengi sana, wadau nanyie mtaongezea kero zilizopo ambazo mamlaka husika hazishughulikii labda kama wananufaika kwayo.
Sasa kama moja ya kosa alilokutwa nalo Idris na mwenzake la Idris kutumia line isiyokuwa yake na mwenzake kushtakiwa kwa kuruhusu line yake itumiwe na mtu mwingine.
Ninachotaka kumweleza Waziri Kamwele, na yeye azielekeze Taasisi au Mamlaka zinazozisimamia kampuni za simu hasa TCRA nawao wachukue hatua ya kuzionya baadhi ya kampuni za simu zinazofanya yafuatayo.
1. kugawa namba za wateja wa makampuni yao kwa watu au kampuni nakuanza kutuma matangazo yao ya michezo ya kubahatisha na utapeli wanaofanyiwa watanzania. Mf. Unaambiwa namba yako imeshinda 5ml. Hivyo tuma shilingi kadhaa ili ukomboe (baadhi yawatu wanaibiwa)
2. Unashtukia namba mfano 5555 imeleta ujumbe namba yako imejishindia bahati nasibu ya tsh. Mf.20ml. Tuma neno au herufi au namba kwenda namba flan ili kushiriki bule naukifanya hivyo tu! Ujue kilasiku watakuwa wanakuchaji pesa ktk account yko. Pamoja na mambo mengine mengi tu ambayo yameperekea mataperi wa tuma pesa kwenye namba hii kutoisha pamoja na usajiri huu mpya.
Kama idris sultani alishtakiwa kwa makosa niliyoyataja yy na mwenzake yakiwemo na mengine hamuoni nanyie mnatakiwa kuyaonya makampuni yasimu yanayo gawa namba za watanzania bila ridhaa yao?
Hayo nimachache tu lakini yako mengi sana, wadau nanyie mtaongezea kero zilizopo ambazo mamlaka husika hazishughulikii labda kama wananufaika kwayo.