Ukishangaa ya msanii wa vichekesho Idris Sultani utayaona ya baadhi ya makampuni ya simu. Eng Kamwelwe na TCRA tusaidieni

Ukishangaa ya msanii wa vichekesho Idris Sultani utayaona ya baadhi ya makampuni ya simu. Eng Kamwelwe na TCRA tusaidieni

Mpe mtu hicho kisimbuzi chako halafu akifika huko aendako akichakachue kiwe na uwezo wa kushika mpaka channel za dstv, halafu kishtukiwe ndio utajua kama hicho kisimbuzi ni chako kweli au kina wenyewe. Utashtakiwa na mtafungwa wote kwa kosa la kula njama za kuibia kampuni husika(dstv/azam), soma mikataba iliyopo utajua kuwa wewe ni mpangaji aka mkodishaji tu, huna chako. Si line ya simu, si king'amuzi.

Wewe tatizo lako naona ni shule ndogo.
Ukichakachua uache kushtakiwa, au kunasehem nimesema unaweza chakachua.
Nilichongundua una hakili za panzi! Unauwezo mdogo kuchambua hoja. Unauelewa mdogo, elimu yako ni ndogo. Eti
 
Wewe tatizo lako naona ni shule ndogo.
Ukichakachua uache kushtakiwa, au kunasehem nimesema unaweza chakachua.
Nilichongundua una hakili za panzi! Unauwezo mdogo kuchambua hoja. Unauelewa mdogo, elimu yako ni ndogo. Eti
Umeshinda
 
Makampuni ya simu yanatoa wapi power of Antony yakugawa.
1.line niliyonunua mimi kwa hela zangu.

2.line niliyosajiri kwa kitamburisho cha kitaifa tena kwa mujibu wa sheria?

3.line ambayo naweza kushitakiwa endapo nitampa hata baba yangu mzazi kuitumia?

4.line ambayo natakiwa kuitoa mimi mwenyewe kwa mtu yoyote?

5.line ambayo ni bank , ni bank ya siri kubwa ambayo hata mkewangu hawezi kuingia na kusoma vitu bila ridhaa yangu namimi siwezi fanya hivyo kwenye line ya mke wangu wao niakinani?

6. Line ambayo kila kukicha tcra wanasisitiza kutompa mtu simu kuitumia? Kwanini wao wanagawa?

Mwisho! Hivi sheria zetu huwa zinang'ata masikini na waganga njaa pekee?
Power of Antony...??... Labda Power of attorney.....
 
Back
Top Bottom