Mpe mtu hicho kisimbuzi chako halafu akifika huko aendako akichakachue kiwe na uwezo wa kushika mpaka channel za dstv, halafu kishtukiwe ndio utajua kama hicho kisimbuzi ni chako kweli au kina wenyewe. Utashtakiwa na mtafungwa wote kwa kosa la kula njama za kuibia kampuni husika(dstv/azam), soma mikataba iliyopo utajua kuwa wewe ni mpangaji aka mkodishaji tu, huna chako. Si line ya simu, si king'amuzi.