"Ukishangaa ya Mussa subiri ya Firauni"

"Ukishangaa ya Mussa subiri ya Firauni"

KAPONGO

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
1,688
Reaction score
679
Waungwana naomba kufahamishwa falsafa ya msemo huo ( ama unaofanana na hao) ambao nimekuwa nikiusikia sana lakini sifahamu chimbuko na historia yake ni nini hadi kuwa na umaarufu huo!
 
huo msemo umetokana na biblia pia upo na kwenye kuluani unahusisha pale mussa alipokuwa anafanya miujiza kwa uweza wa mungu na waganga wa firauni nao wakawa wanafanya miujiza kwa uweza wa kishetani so ukistaajabu ya mussa utaona ya firauni
 
Back
Top Bottom