To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂😂😂sawa...uko poa?Mwambie Shemu akuonyeshe hiyo Tanganyika Jeki ikoje.😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂sawa...uko poa?Mwambie Shemu akuonyeshe hiyo Tanganyika Jeki ikoje.😊😊
Niko Fresh mÃmi.😂😂😂sawa...uko poa?
Mi poa nipo na familia hapaNiko Fresh mÃmi.
Nayapitia vipi kwa upande wako?
[emoji1][emoji1]Hii Dunia unayowaza wewe! Utagundua sio sahihi miaka 30 ijayo.
Subiri uingie kwenye uhalisia sasa rafiki,lakini kwa uchache asemayo ni kweli, ukweni ni nyumbani hata hivyo lazima kuwe na mipaka/sababu ya kukufikisha nyumbani.Mkuu tutafutie Kwa ufupi na somo la expectation( before marriage) Vs reality (ndani ya ndoa) tujue mambo angalau yaliyopo ndani ya ndoa kidogo expectation tunazo.
Uko sahihi kabisaa.Ukweni panabaki kuwa ukweni tu, yaani pale ni ukweni, kwa wakwe zangu, naenda FOR A REASON!