Ukishaoa au kuolewa Ukweni panakuwa Kwenu

Mkuu tutafutie Kwa ufupi na somo la expectation( before marriage) Vs reality (ndani ya ndoa) tujue mambo angalau yaliyopo ndani ya ndoa kidogo expectation tunazo.
Subiri uingie kwenye uhalisia sasa rafiki,lakini kwa uchache asemayo ni kweli, ukweni ni nyumbani hata hivyo lazima kuwe na mipaka/sababu ya kukufikisha nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…