KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Kkimondoa
Usijidanganye! huitaji rais tu kuwa mzalendo bali taasisi nzima ya serikali jeshi,mahakama,bunge,wafanyakazi mpk wananchi wote kiujumla.. katiba ndo sheria ya nchi inayotakiwa kufatwa kwa manufaa ya taifa zima.. lkn nini kama hakuna wazalendo wakuifuata..? bila kuwa na wazalendo ktk sekta kubwa za serikali ni sawa na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa mambo yatapindishwa hovyo..
hii katiba tu tunayoiyona ni mbaya je ni mambo mangapi yamepindishwa humo na watu wanahangaika! kama kughushi vyeti ni jambo baya wangapi wameghushi na wanajua ni vibaya..?
maneno yanaweza kuandikwa na yasifuatwe hata wanaosimamia wakawa ndo walanguzi wakwanza!
tunahitaji watu kadhaa serikalini ktk sekta muhimu zote ili tuonje iyo raha ya uzalendo wao ndo watuundie na katiba itakayosimamiwa kizalendo bila kujali tajiri wala maskini.
wala haihitaji coz kuelewa
Usijidanganye! huitaji rais tu kuwa mzalendo bali taasisi nzima ya serikali jeshi,mahakama,bunge,wafanyakazi mpk wananchi wote kiujumla.. katiba ndo sheria ya nchi inayotakiwa kufatwa kwa manufaa ya taifa zima.. lkn nini kama hakuna wazalendo wakuifuata..? bila kuwa na wazalendo ktk sekta kubwa za serikali ni sawa na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa mambo yatapindishwa hovyo..
hii katiba tu tunayoiyona ni mbaya je ni mambo mangapi yamepindishwa humo na watu wanahangaika! kama kughushi vyeti ni jambo baya wangapi wameghushi na wanajua ni vibaya..?
maneno yanaweza kuandikwa na yasifuatwe hata wanaosimamia wakawa ndo walanguzi wakwanza!
tunahitaji watu kadhaa serikalini ktk sekta muhimu zote ili tuonje iyo raha ya uzalendo wao ndo watuundie na katiba itakayosimamiwa kizalendo bila kujali tajiri wala maskini.
wala haihitaji coz kuelewa