Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Mimi nimeishuhudia mwenyewe kumbe madawa yapo kabisaHii huwa naisikia sikia sana
Hakuna dawa ya kuitoa Simba shirikisho na kuipeleka Champions League?
Dunia Ina mengi sanaHUU MFUMO HATA JAPANI WANAO NILISHAKUTANA NAO.SUBIRI NIKUMBUKE ILIKUWA 2009.
TENA NI DAWA ZINAZOCHANGANYWA NA VITU KUTOKA KWA WANYAMA UNAKUNYWA AU KUMEZA KWA HAPA AFRIKA KAMA IRIZI
NAKAZIANikifa mke wangu asiolewee.....
Kivp?Umeaibisha user name yako
Madawa yapo Mimi nilijua ni swaga tu lkn Kwa mzee yule imekuwa wazi kabisa kumbe dawa zipoNi yale maana kuna mzee nilimuona alikuwa na miaka zaidi ya 110 , walikuwa wanamtoa nje kweny jua kama wanamuanika kila siku .
Chumba anachokaa kinatoa harufu mpaka siku aliyokufa walifurahi sana , maana hata wajukuu zake walikuwa na wajukuu.
Kuteseka kule kule bora mtu afe tu .Madawa yapo Mimi nilijua ni swaga tu lkn Kwa mzee yule imekuwa wazi kabisa kumbe dawa zipo
Mbona mke wangu mnamtamani Hivi hata sijafa? Wakuu si mtamipagania muuwane wenyewe ππAhahaha akija atakwambia anza kufa wewe
Yaani mimi hili suala nitalikamia mpaka mwisho...Mbona mke wangu mnamtamani Hivi hata sijafa? Wakuu si mtamipagania muuwane wenyewe ππ
Mangungu ni kiboko wa mudyMimi nina dawa ya kumtoa Mangungo kwenye ile nafasi yake ya Uenyekiti. Mwenye hela aje nimpe. Yaani inafanya kazi ndani ya muda mfupi sana.
Wale hawakuwa na code zao bila shakaHawa wasukuma hawakuwasiliana na ndugu zao wa kule kina Vita vya Maji Maji kina Kinjekitile Ngwale wakawasaidia wajerumani wasiwasulubu ?
Hio dawa huwa inampiga blacklist malaika mtoa rohoπ π ππππ
Huenda walikuwa na maana zaidi ya hizi. Bahati mbaya Huwa hawasemi aseeMapambano dhidi ya ujinga bado ni magumu sana!
Wanatesa sana wanao uguza wee Hadi Watoto wanakaa kikao wakijiuliza mbona mzee hakati moto Ili Hali hata kula Hali!Kuteseka kule kule bora mtu afe tu .
Ngumu kupata now daysNategemea punde tutaanza kupeana / kuuziana hizi dawa na kuendelea kutoboana mifuko (Kweli kila mmoja kwa urefu wa kamba yake)
Wewe unakataliwa mapema labda uanze kunipa hogo Mimi niache wosia wa kuku direct wewe tuπYaani mimi hili suala nitalikamia mpaka mwisho...
Yaani lazima aolewe tuuu ahahaha