Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Daaah hii ni nzurii ilaa kuna muda inakeraa kwa watu wanaomwangalia
 
Ni yale maana kuna mzee nilimuona alikuwa na miaka zaidi ya 110 , walikuwa wanamtoa nje kweny jua kama wanamuanika kila siku .

Chumba anachokaa kinatoa harufu mpaka siku aliyokufa walifurahi sana , maana hata wajukuu zake walikuwa na wajukuu.
Madawa yapo Mimi nilijua ni swaga tu lkn Kwa mzee yule imekuwa wazi kabisa kumbe dawa zipo
 
Nategemea punde tutaanza kupeana / kuuziana hizi dawa na kuendelea kutoboana mifuko (Kweli kila mmoja kwa urefu wa kamba yake)
Ngumu kupata now days
Kwanza wataalam wengi hawapona miti mingi ya asili imepotea kwenye pori la VIGWAZA wilaya KIBAHA kulikuwa na MITI yenye TIBA mbalimbali lakini now pori lote limeondoka ni MAJUMBA TUPU na ukikuta PORI limeshauzwa hvyo mnunuzi anafyeka
hvyo ule UHARISIA umepotea
Babu yangu now ana miaka 102
Kapooza Kila kitu hata kuona aoini YUPO kitandani mwaka wa 10 huu Kila siku tunasema atakufa Leo hatakufa kesho zaidi tunakufasie vijana yeye tunamuacha
HAwa wazee wa zamani KONYO sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…