Uchaguzi 2020 Ukisikia Mgombea Urais 'kalazimika' kuchukua 'Likizo' ya ghafla kuendelea na 'Kampeni' zake unahisi 'kakumbwa' na nini kati ya yafuatayo?

Uchaguzi 2020 Ukisikia Mgombea Urais 'kalazimika' kuchukua 'Likizo' ya ghafla kuendelea na 'Kampeni' zake unahisi 'kakumbwa' na nini kati ya yafuatayo?

dodoma_zone__20200911_1.jpg
 
Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
lazima ufanye mapitio na mapumziko,kampeni ni mikakati
hata lissu alipumzika bada kutoka zanzibar kaanza tena jana
Membe anaenda zake kupumzika ulaya baada ya kampeni nzito iliovuta nyomi za watu
 
Kuna jambo tusilolijua
Mungu atuepushe
Uarabuni kupumzika Mgombea wa chama cha mlango fulani
Mlango huu unahitajika kufungwa kiduuuchu
Something is not right somewhere!
Lissu kaza mwendo
cdm mliona mbali
Upinzani bado safari ni ndefu
Ruzuku inauza utu haki pengine amani ya baadhi
 
Huyo mshindani wake mkuu ni yupi?Ni yule baba mwenye nyumba alieyumba?
 
Nimekutana nae jana uwanja wa ndege jana. Me narudi bongo ye anaondoka.
Binadamu sio watu wazuri, wamemdanganya mzee wa watu now kahaibika. Yaani hata mzee wa ubwabwa anakubalika kuliko yeye.😂😂
Retreat? No. Its a political strategy.
 
Huyu mtu mnamvyofikiria nyinyi tofauti na anavyoonekana Mbele ya MUNGU ni tofauti na nyinyi wanadamu mnavyomuona.
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Subirini mtaona.
 
Unayemlenga halengeki, umekwepesha ila tumeelewa, sio yule aliyeenda kwa anga bali yule anayekimbia aridhini.
 
Mapumziko hata kama pamabano lishaanza ni muhimu, tuwe na subira!!

Ndiyo maana hata kwenye ndondi kuna dk 3 za mpumziko kila mwisho wa round.
 
Huyo kafata hela za kampeni , tunamumulika kisawa Sawa akizileta tunazipiga pini 😂
Kama ni kweli kaenda nje kufata huo "mzigo" na kama hajui nini itakua hatima ya huo "mzigo" pindi utakapoingia Bongo basi hafai wala hastahili japo kuitwa afisa kificho bobezi
 
Katika sehemu cdm walicheza heko ni kugoma kuungana na huyo Lowassa wa Lindi. Mpinzani wa kweli ni Seif na Wapemba wenzake, huyo Zito ni mpinzani wa kuwa naye makini, yaani ukiamua kujiunga naye sawa na kujilipua.
Mkuu tindo ebu tumia jicho lako la tatu kutambua athali za Membe kukacha kampeni (kama ni kweli) kwa wagombea wa upinzani. Yawezekana hata Lissu akishindwa, atawaingiza WaTz wasio na kosa barabarani wakati yeye, huyooo Ughaibuni.

USALITI HAUJAMWACHA MTU SALAMA.
 
Mkuu tindo ebu tumia jicho lako la tatu kutambua athali za Membe kukacha kampeni (kama ni kweli) kwa wagombea wa upinzani. Yawezekana hata Lissu akishindwa, atawaingiza WaTz wasio na kosa barabarani wakati yeye, huyooo Ughaibuni.

USALITI HAUJAMWACHA MTU SALAMA.
Mimi Nikulipe mshahara,posho,nyumba,mafuta ya gari na bado umtangaze mpinzani ni mshindi?hiiiiiiiiiìiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom