Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima ufanye mapitio na mapumziko,kampeni ni mikakatiKaribuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Unafiki na uzandiki wa kishamba,huku akijiona anajua sana mambo.Kama kawaida yake mleta mada unafiki kwako kwa sasa ndicho kilichobakia
Wala hamuja muelewa mleta Uzi,hajazungumzwa Membe hapo,Maelezo yamemgusa Jiwe na Chama chake chakavuMembe
Retreat? No. Its a political strategy.Nimekutana nae jana uwanja wa ndege jana. Me narudi bongo ye anaondoka.
Binadamu sio watu wazuri, wamemdanganya mzee wa watu now kahaibika. Yaani hata mzee wa ubwabwa anakubalika kuliko yeye.😂😂
Polepole bila kuchoka. Mbuyu utaanguka tu. Unaumizwa. Ni kama kirusi. Kinatafuna polepole hadi umauti.
Anapalilia Cv yake vizuri maana nafasi zipo bado.Sasa mtu una hela zote hizo kwa nini usumbuke.
Kwamba kampisha kikwete amalize kule kusini wasigongane,
Subirini mtaona.Je,
1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?
Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Kama ni kweli kaenda nje kufata huo "mzigo" na kama hajui nini itakua hatima ya huo "mzigo" pindi utakapoingia Bongo basi hafai wala hastahili japo kuitwa afisa kificho bobeziHuyo kafata hela za kampeni , tunamumulika kisawa Sawa akizileta tunazipiga pini 😂
Mkuu tindo ebu tumia jicho lako la tatu kutambua athali za Membe kukacha kampeni (kama ni kweli) kwa wagombea wa upinzani. Yawezekana hata Lissu akishindwa, atawaingiza WaTz wasio na kosa barabarani wakati yeye, huyooo Ughaibuni.Katika sehemu cdm walicheza heko ni kugoma kuungana na huyo Lowassa wa Lindi. Mpinzani wa kweli ni Seif na Wapemba wenzake, huyo Zito ni mpinzani wa kuwa naye makini, yaani ukiamua kujiunga naye sawa na kujilipua.
Mimi Nikulipe mshahara,posho,nyumba,mafuta ya gari na bado umtangaze mpinzani ni mshindi?hiiiiiiiiiìiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiMkuu tindo ebu tumia jicho lako la tatu kutambua athali za Membe kukacha kampeni (kama ni kweli) kwa wagombea wa upinzani. Yawezekana hata Lissu akishindwa, atawaingiza WaTz wasio na kosa barabarani wakati yeye, huyooo Ughaibuni.
USALITI HAUJAMWACHA MTU SALAMA.