Uchaguzi 2020 Ukisikia Mgombea Urais 'kalazimika' kuchukua 'Likizo' ya ghafla kuendelea na 'Kampeni' zake unahisi 'kakumbwa' na nini kati ya yafuatayo?

Uchaguzi 2020 Ukisikia Mgombea Urais 'kalazimika' kuchukua 'Likizo' ya ghafla kuendelea na 'Kampeni' zake unahisi 'kakumbwa' na nini kati ya yafuatayo?

Ni yeye 202
IMG_20200911_164939.jpeg
 
Soma ratiba ya tume inaonyesha JPM atakuwa off hadi tarehe 14/9 kweli Chadema majanga matupu, yaani hata ratiba ya tume hamnayo.Peoplessdsdddd
Mimi sio Chadema. Ni mwanachama wa CCM
 
Katika sehemu cdm walicheza heko ni kugoma kuungana na huyo Lowassa wa Lindi. Mpinzani wa kweli ni Seif na Wapemba wenzake, huyo Zito ni mpinzani wa kuwa naye makini, yaani ukiamua kujiunga naye sawa na kujilipua.
😃😃
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.

Aisee! Namba tano. Nazani kuna jamaa kibao walitumwa Belgium huko nyuma, na kwa ulafi wao hawakuona the other side of the same coin. Lets see what unfolds. They should not have missed!
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Mkuu anakwenda Gamboshi kupata maelekezo zaidi ya wazee wa kimila. This is a sign of Low Battery Charge.

Maendeleo hayana chama.
 
Kama watanzania hata kujua na kufuatilia tu ratiba ya kampeni Za vyama vyao Hawawezi basi ni kweli elimu yetu inahitaji kuangaliwa upya.
Tunaendelea kuwa taifa la raia wenye majungu na umbea wa kuzidi.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Nitafurahi nikisikia aliyeenda likizo fupi sasa yuko ICU ile pacemaker imegoma kufanya kazi.
 
Hahaaaa
Yaani Magufuli kawajengea barabara za lami kila kijiji halafu mwisho wa siku mnataka kumchinjia baharani.

Kwa hali ya kawaida kama binadamu lazima awe na panick plus hasira mbonyeo zisizo na kikomo.

Namnukuu bwana Magufuli,

"Msimchague mgombea wa upinzani hata kama anafaa."

Hiyo ni kauli ya mtu mwenye chuki mpauko.

Namnukuu tena

"Mkichagua wapinzani mnaniudhi"

Hiyo ni kauli muwasho mkunjufu.

Ccm oyeeeeeee
Chama twawala oyeeeeeeee
 
Meko yupo chimbo anapiga tunguli ndio aanze zunguka tz maana anajua watesi wake wapo kwaiyo lazima achungulie keanza
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
8.Ni mgonjwa ameshauriwa na Dkt apumzike (hawezi ongea mfufulizo bila sauti kuziba na alivyopigwa na moshi Ruangwa akapata katatizo ka moyo ) mtu masaa 8 alizima sio mchezo.
Mtu akiongea kila saa anakohoa kohoa hovyo hovyo ...mbaazi zimegoma ngozi haishiki mafuta .
 
Je,

1. Pumzi yake imeshakata mapema na sasa Pumzi pekee tu iliyobakia ni ya Hasira ( Jazba ) na kutoa Maneno ya Kashfa na Ajabu?
2. Mpaka hapo alipofikia kufanya Kampeni zake ameshaona kuwa ameshinda kutokana na Nyomi alilokuwa akiliona kote alikopita?
3. Anaona Waganga wa Kienyeji waliompa Ndumba za Kimvuto wamekosea na sasa ndiyo anachukiwa tu zaidi?
4. Anataka kuwaita wale waliomdanganya kwa Kumuaminisha kuwa anakubalika ili awachape Viboko na ikibidi hata awapige Ngumi?
5. Ameshagundua kuwa anaenda Kushindwa hivyo anataka kufanya Mazungumzo ya Kisirisiri na Adui yake waunde Serikali Moja?
6. Anataka Kurudi kwa Mizimu yake ya Mababu na Mabibi akawambe Radhi kwani anaona Maji sasa yanazidi kabisa Unga?
7. Anataka Kuigilizia ( kupiga Chabo ) Kampeni za Wenzake hasa Mshindani wake Mkuu ili aje na Mkakati mpya Kumpiku Kisiasa?

Karibuni katika kutoa Majibu yenu sahihi tafadhali.
Unajitahidi sana kufuata nyao za mgombea wako. Hongera sana. Je, huoni ndiyo nafasi ya mgombea wako kutumia nafasi hiyo kukonga nyoyo za wapiga kura?

Wakati huo huo nasi tusioweza kuhudhuria kampeni zake tuwekee Ilani ya Chama humu tujadili Sera kama zina mashiko ya kuleta mabadiliko. Lakini, naamini huna na ndiyo maana wewe na wenzio mnashabikia matukio na kuwasema vibaya wagombea wengine.
 
Swali; Kama mgombea wa kiti Cha urais akifariki kabla ya uchaguzi katiba inasemaje?
 
Back
Top Bottom