Ukisikia mshike mshike nguo chanike ndio hii

Ukisikia mshike mshike nguo chanike ndio hii

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
83
Bunge hili.JPG
 


Kuna tetesi kuwa dada huyu naye atateuliwa na mhishimiwa rahisi kwenda kuwapoza wabunge wa upinzani wanaoizodoa sirikali
 
Baada ya kazi.....................................
 
Jamani nini maana ya hawa wote kuvaa vikuku (chaini miguuni)?
 
<!-- google_ad_section_start -->
quote_icon.png
Originally Posted by omuka
Jamani nini maana ya hawa wote kuvaa vikuku (chaini miguuni)?



Mkuu kikuku mbona mie sikioni au wewe una electronic lens machoni nini?<!-- google_ad_section_end -->

Kama hukijui hata ukivaa lens huwezi ona
 
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::yield::yield::yield::yield::yield: NO coment{WABUNGE NDOA LAZMA ZIVUNJIKE}
 
Duh! Hata ningekua bungeni halafu nakutana na mrembo kama huyu lazima ninunue rada kwa mabilioni ya shilingi ili nitumie nae
 
Raha ya fish kumgeuza vikuku urembo, tigo...mtandao ...vitu viko wazi maswali ya nini.....
 
Back
Top Bottom