Ukisikia Wizi Wa Mademu Wa Mjini Ndio Kama Huyu

Best love comment[emoji106] [emoji2]
 
ha ha haaaaaA
 
STUNTER Kama kawaida yako...unashusha mawe juu ya mawe mpaka uje ukae juu ya mawe.ukinyamaza wewe mawe yataongea...natamani siku nikuone mana ni hatari...nakumbuka ile ya mzee ampeleke binti showroom akachagua gari...akandika cheki akampa muuzaji wa magari..Weekend hiyo Bank zimefungwa..binti alinyoshwaaa usiku kucha.jtatu kafuata gari akaambiwa Yule mzee akaunt yake haina hata mia mbovu.....
 
Si muimbie Happy birthday to you.Kwani tatizo nini?
 
Hahahaa... Hahaha kumbe bado unakumbuka???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…