Ukisikia Wizi Wa Mademu Wa Mjini Ndio Kama Huyu

Ukisikia Wizi Wa Mademu Wa Mjini Ndio Kama Huyu

Yaani mie mwenyewe huwa nacheka maana kutwa anatupia thread tena za mademu lakini zina uhalisia na mazingira halisi tunayoyaona hahahaha
Hata mi mwenyewe najishangaa,
yani najikuta nimeshaitupia tu bila kujijua
 
Kilichokutuma utoe bulungutu la pesa mbele ya demu ni nini?
 
Jamani huu wizi 'live', nimekaa nae muda mrefu
tumekunywa sana, sasa nataka kulipa bili, nimetoa
bulungutu la noti nachagua zile zilizochoka choka
ndio nilipie, naona mkono uko shingoni, na kwa sauti
ya kumtoa nyoka shimoni;MDADA: Swiry, darling
baby unajua leo kumbe birthday yangu


!
!
Duh....Pole sana mkuu. Ungemkata kelbu ya fasta.
 
Wee si umetoa kuonyesha unazo na matumizi ya kuzitumia huna... Soo ndio unatajiwa matumizi. Alafu achaa kelelee mwanamke ni pesa na matunzoo hata mkeo nyumbani bila matunzo na pesa atakudharau na kukunyima dudu piaa tena na kuambiwa embu niachee ukooo nivue chupi unajua gharama yake. Tumia pesa ikujengee heshimaaa. HASARA ROHO, PESA MAKARATASI

ila kusema kweli kutoa pichu ambayo hujanunua kunapunguza mzuka kabisa aisee!
 
Back
Top Bottom