Auz JF-Expert Member Joined Apr 6, 2016 Posts 13,539 Reaction score 11,419 Aug 31, 2021 #2 Ndio kusema tabia za rushwa, uonevu, wizi na kubambikia raia makosa wasiyoyafanya kunakofanywa na jeshi la polisinayo hutokana na malezi yao. Ukiishi nyumba ya vioo usitupie nyumba za tofali/wenzio mawe!
Ndio kusema tabia za rushwa, uonevu, wizi na kubambikia raia makosa wasiyoyafanya kunakofanywa na jeshi la polisinayo hutokana na malezi yao. Ukiishi nyumba ya vioo usitupie nyumba za tofali/wenzio mawe!
THE BEEKEEPER JF-Expert Member Joined Feb 23, 2024 Posts 1,462 Reaction score 7,157 Apr 30, 2024 #3 Basi Basi kula chuma hicho
uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Apr 30, 2024 #4 Ophonso said: Click to expand... Kweli akili huna, kwa hiyo huyo ni Mungu au maandiko matakatifu tuyafuate?
Ophonso said: Click to expand... Kweli akili huna, kwa hiyo huyo ni Mungu au maandiko matakatifu tuyafuate?