SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wanasema tii sheria bila shuruti.
Kutokana na tuhuma zinazomkabili msemaji wa Yanga Ali Kamwe, mashabiki wengi wa Yanga wamejitokeza kumtetea huku utetezi mkubwa ukiwa eti hakuna timu ligi kuu inayoitwa Kolo au Makolo.
Tukumbuke Simba imeimbwa hadi katika nyimbo za Yanga kama Kolo au Makolo, leo hii ghafla bin vuu, hawaitambui hilo jina na wanakana halihusiani kabisa na timu ya ligi ya NBC. Wengine wanadai eti wanamaanisha Kolo ni katimu fulani huko mtaani. Kwa hiyo wanamaanisha Yanga ni level za timu ya mtaani maana mtani wake yuko huko, aisee!
Hii inamaanisha nini?
Je taratibu ufahamu umeanza kuwaingia hawa vyura kiasi cha kufuta kebehi na kejeli zao na badala yake kuipa heshima mabingwa watarajiwa wa NBC na CAFCC, Simba SC?
Muda haujawahi kushindwa na ni kitu cha kuheshimu sana.
Kutokana na tuhuma zinazomkabili msemaji wa Yanga Ali Kamwe, mashabiki wengi wa Yanga wamejitokeza kumtetea huku utetezi mkubwa ukiwa eti hakuna timu ligi kuu inayoitwa Kolo au Makolo.
Tukumbuke Simba imeimbwa hadi katika nyimbo za Yanga kama Kolo au Makolo, leo hii ghafla bin vuu, hawaitambui hilo jina na wanakana halihusiani kabisa na timu ya ligi ya NBC. Wengine wanadai eti wanamaanisha Kolo ni katimu fulani huko mtaani. Kwa hiyo wanamaanisha Yanga ni level za timu ya mtaani maana mtani wake yuko huko, aisee!
Hii inamaanisha nini?
Je taratibu ufahamu umeanza kuwaingia hawa vyura kiasi cha kufuta kebehi na kejeli zao na badala yake kuipa heshima mabingwa watarajiwa wa NBC na CAFCC, Simba SC?
Muda haujawahi kushindwa na ni kitu cha kuheshimu sana.