Ukistaajabu ya Musa... Singano to TP Mazembe dau la usajili ni tshs 115 m

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,203
Reaction score
37,906
Source:
Azam Tv Dk 90
Jumatatu

Mtangazaji:
Ahmed Ally

Wachambuzi:
Abdul Mkeyenge
Charles Abel
Ally Kamwe

Mwenye bahati habahatishi!
Kila la heri Ramadhani Singano

Kama kawaida, Singano ataenda kucheza pembeni, kwa sasa Kalaba ndiye anaecheza pembeni pale TP na ana umri wa Miaka 33! Kalaba anasaidiwa na Abagana mwenye umri wa miaka 23! Obviously Rama anaandaliwa kumrithi Kalaba! Singano amesinya 5 years contract!
 
Kila la kheri kwake!!! Sisi tuna Deo kanda.

Wao yanga wana


Sio Mimi ni maneno ya mchumbuzi wa soka wa EFM Oscar Oscar cc Shadeeya
 
Wewe ni wakupuuza kama kangi lugola
Huna ulijualo, sasa hiv TP mazembe haina fedha budget ya kununua wachezaji wenye viwango vya hali ya juu hawana Katumbi yuko yuko tu serikali ya Congo inamtafutia angle imsomeshe namba 5

Na msimu huu usishangae ikatoka group stages au robo fainali
 
Huna ulijualo, sasa hiv TP mazembe haina fedha budget ya kununua wachezaji wenye viwango vya hali ya juu hawana Katumbi yuko yuko tu serikali ya Congo inamtafutia angle imsomeshe namba 5

Na msimu huu usishangae ikatoka group stages au robo fainali
Kichaa wewe
 
Huna ulijualo, sasa hiv TP mazembe haina fedha budget ya kununua wachezaji wenye viwango vya hali ya juu hawana Katumbi yuko yuko tu serikali ya Congo inamtafutia angle imsomeshe namba 5

Na msimu huu usishangae ikatoka group stages au robo fainali
kweli wewe ni wa kupuuzwa kama mpuuzi...
 
TP mazembe sasa hivi haina fedha inaelekea kuwa timu ya daraja la kati

Haina Ela ukiifananisha na Timu gani, naomba utuwekee hapa makusanyo yote ya mlangoni, televisheni na mgao wa CAF hapa tuamini usemayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…