Inabidi u-update taarifa za kuhusu huyu mtu, baada ya kuwa uhamishoni kwa miaka 3 Katumbi amesharudi Congo baada ya uchaguzi kuisha na kupata Raisi mpya, kwa stage waliyofika Mazembe sidhani kama bado wanategemea fedha kutoka mfukoni mwake.Mose katumbi anaishi ufaransa hakai tena DRC yani yupo mguu ndani mguu nje kwenye kuifadhili
Alikuwa uhamishoni kwasababu za kisisa na utawala uliopita, hali haiko hivyo sasa, fuatilia siasa za Congo pia.Hajafilisika ila ana tatizo na serikali ya Congo hayuko salama kabisa hivyo uwekezaji wake mwingi anaupa nguvu nje ya nchi kuliko ilivyokuwa ndani
Ni kweli ila bila mafedha ndugu yangu utashindanaje na vilabu kama Mamelody,Zamalek,wydad,Al ahly ngumu sana juzi Zamalek wameweka billion tatu za tz kuitaji huduma ya Khama billiat juzi Mamelody wamemsajiri mshambuliaji wa Uruguay kwa pesa ndefu zaidi ya billion 4 tz na kuwapiku sporting Lisbon ya ureno sio swala dogo.Inabidi u-update taarifa za kuhusu huyu mtu, baada ya kuwa uhamishoni kwa miaka 3 Katumbi amesharudi Congo baada ya uchaguzi kuisha na kupata Raisi mpya, kwa stage waliyofika Mazembe sidhani kama bado wanategemea fedha kutoka mfukoni mwake.
Source:https://www.aljazeera.com/news/2019...er-katumbi-returns-exile-190520105702419.html
Nafuatilia mno, na hali bado ni tete kabila ni kama bado ni Rais wa DRC kinyumenyumeAlikuwa uhamishoni kwasababu za kisisa na utawala uliopita, hali haiko hivyo sasa, fuatilia siasa za Congo pia.
Mazembe mpaka kufikia mwaka juzi ilikuwa na utajiri wa $60 million za TrumpInabidi u-update taarifa za kuhusu huyu mtu, baada ya kuwa uhamishoni kwa miaka 3 Katumbi amesharudi Congo baada ya uchaguzi kuisha na kupata Raisi mpya, kwa stage waliyofika Mazembe sidhani kama bado wanategemea fedha kutoka mfukoni mwake.
Source:https://www.aljazeera.com/news/2019...er-katumbi-returns-exile-190520105702419.html
Maana yake ni kuwa Mazembe wamebadilisha Deo kwa Messi. Yaani wanaoumuona Messi hana kiwango basi Mazembe wanamwona Deo ni mtupu mbele ya Messi.Kila la kheri kwake!!! Sisi tuna Deo kanda.
Wao yanga wana
View attachment 1154798
Sio Mimi ni maneno ya mchumbuzi wa soka wa EFM Oscar Oscar cc Shadeeya