Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Wazee wa Club za Simba na Yanga

Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Wazee wa Club za Simba na Yanga

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Nimeona jana kikao cha wazee wa Simba kikiongozwa na Wanasiasa Mangungu (ambaye ni pia ndiye Mwenyekiti wa Simba kwa sasa) na wafuasi wake .i.e Dalali, Asha baraka n.k.

Kikao kama kikao cha wazee wa Club sio kibaya kujadili maendeleo ya Club bali tatizo ni lengo la kikao chenyewe eti kujadili kwa nini timu Imefungwa mechi mbili na kutoka sare mechi moja (mfululizo) na kwamba wao wanataka kujadili hili "swala na kulipatia dawa".

Hawa wazee wanalao jambo, wanasimba tuwe makini tunarudishwa kuleeeee tulipotoka.

Tusikubali hizi siasa
 
Wachezaji 60% wanamiaka 40 bado unahitaji kikao Cha wazee kutambua kua upepo wa wachezaji umeshakata!! Aliye waita mbumbumbu hakukosea.
 
Ndo maana Akauliza Transformation Imeishia wapi? Coz anaona ni ufala tu unafanyika na Akaongeza PESA SIMBA HAINA THAMANI. chenye thamani ni uchawi.
Kweli kabisa mkuu, ukiunganisha dots za tweets za Mo na ukaja uka relate na hicho kikao cha wazee ndio unakuja kupata maana kua Muddy kamaindi..
 
Nimeona jana kikao cha wazee wa Simba kikiongozwa na Wanasiasa Mangungu (ambaye ni pia ndiye Mwenyekiti wa Simba kwa sasa) na wafuasi wake .i.e Dalali, Asha baraka n.k.

Kikao kama kikao cha wazee wa Club sio kibaya kujadili maendeleo ya Club bali tatizo ni lengo la kikao chenyewe eti kujadili kwa nini timu Imefungwa mechi mbili na kutoka sare mechi moja (mfululizo) na kwamba wao wanataka kujadili hili "swala na kulipatia dawa".

Hawa wazee wanalao jambo, wanasimba tuwe makini tunarudishwa kuleeeee tulipotoka.

Tusikubali hizi siasa
Kikao kinawahusu wazee wa simba wakiongozwa na Hassan Dalali, lakini kichwa cha habari kinawajumuisha mpaka wazee wa Yanga! 🤔

Mashabiki wa simba baadhi mmekuwa kama Luteni Urio vile! Yaani hamna utulivu hata kidogo tangu timu yenu ilipoanza kupoteza mwelekeo na hivyo kufungwa hovyo hovyo.
 
Nimeona jana kikao cha wazee wa Simba kikiongozwa na Wanasiasa Mangungu (ambaye ni pia ndiye Mwenyekiti wa Simba kwa sasa) na wafuasi wake .i.e Dalali, Asha baraka n.k.

Kikao kama kikao cha wazee wa Club sio kibaya kujadili maendeleo ya Club bali tatizo ni lengo la kikao chenyewe eti kujadili kwa nini timu Imefungwa mechi mbili na kutoka sare mechi moja (mfululizo) na kwamba wao wanataka kujadili hili "swala na kulipatia dawa".

Hawa wazee wanalao jambo, wanasimba tuwe makini tunarudishwa kuleeeee tulipotoka.

Tusikubali hizi siasa
Soka la kichawi limejikita MSIMBAZI
 
Back
Top Bottom