Cruel conman
Member
- Jan 29, 2024
- 34
- 118
Ukistaajabu ya single maza kama yalivyo kwenye uzi wa Record Man
Unaosema: Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu...
www.jamiiforums.com
hawa watoto wa kike wanabalaa zito sana ukikutananao kwenye mahusiano ndio utajua umuhimu wa baba kwenye familia ni nini maana ni viburi sana, hawarekebishiki, hawajui kitu kinachoitwa taking responsibility for their action, heshima ni ziro kabisa, wanafanya maamuzi yakijinga sana then ukiwaambia wanaona unawaonea
Sometimes unajaribu kuelewa kwamba hawa hawajawahi kukaa under rule ya mwanaume hawajawahi kuexperience sheria za baba na kuamua kumshape lakini wapi
Kibaya zaidi ukiangalia kwenye jamii single maza wanavyoongezeka kwa kasi kubwa sana unabaki unasikitika maana product zitakazotoka hapo ni bomu
Unaosema: Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu...
Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.
Habari jf mimi nina umri wa miaka 40 sasa, ni member wa jf mda tuu ila nimekuja na id hii mpya kuleta kisa changu kilichonikuta na uhamuzi niliochukua. Mimi ni mmoja wa wapondaji sana wa single mother humu jf coz yalinikuta mwenzenu. Nitajitahidi kuelezea kwa ufupi. Mwaka 2009 nilikutana na...
hawa watoto wa kike wanabalaa zito sana ukikutananao kwenye mahusiano ndio utajua umuhimu wa baba kwenye familia ni nini maana ni viburi sana, hawarekebishiki, hawajui kitu kinachoitwa taking responsibility for their action, heshima ni ziro kabisa, wanafanya maamuzi yakijinga sana then ukiwaambia wanaona unawaonea
Sometimes unajaribu kuelewa kwamba hawa hawajawahi kukaa under rule ya mwanaume hawajawahi kuexperience sheria za baba na kuamua kumshape lakini wapi
Kibaya zaidi ukiangalia kwenye jamii single maza wanavyoongezeka kwa kasi kubwa sana unabaki unasikitika maana product zitakazotoka hapo ni bomu