hahaa huu haupo humu" chiefMkuu nitag penye huo Ujumbe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wahuni wanasema " ni pembe la ng'ombe
ewaaa umeona" hiyo kitu sasa ""!!,- nimtihani mkuuMathalani nikiwa busy halafu bidada analeta za kuleta huwa napoteza mwelekeo wa kitu ninachokifanya na sitoweza tena kufikiri vizuri.
Noma sana mzee baba.ewaaa umeona" hiyo kitu sasa ""!!,- nimtihani mkuu
True say BOSSnaam unachopaswa kujishurutisha nacho ni ideas tu' ili mpunga uzidi kufuata floor
Sure mkuu.mahusiano ya namna hii huwaga hayana pressure " yanakuwaga na raha sana
tatari sana mkuu.... inaonekana shetani kashaua udhaifu wako chura kubwa tu mzee.... anakuskilizia tu upate mkwanja akusogezee chura kubwa.... ila tukomae wazee sio siri wanawake wanatukwamisha sanaumemaliza kabisa, kila nikipiga demu chini naona kabisa nakuwa milionea soon.. ghafla mwanamke mwenye matako makubwa analetwa katika maisha yangu.. Napoteana tena!
Watu wengi wanakoseaga hapa, wanachanganya ndoa na maisha ya mapenzi....Na ndio maana ukianza mahusiano rasmi ya kuelekea kwenye ndoa, Make sure ushamalizana na shida za mahusiano kama ku fall in love na mengineyo, so funga ndoa kwa minajili ya familia tuu na sio ma love loveee, otherwise utapata shida sana, unaingia kwenye ndoa hujatafuna na wala haujawahi kuwa na zaidi ya mahusiano hata zaidi ya ke 10, lazima upate shida sana.
Hongera sana Mkuu kwa kupata mwangazaHii ni kweli kabisa, kuna kipindi nilikuwa napoteza hela zangu kwenye mahusiano kuanzia kumlisha kutoka nae out kumvisha na Huduma nyingine huwa nampa pale tu anapohitaji baada ya break up nawaza hivi zile treatments nilizokuwa nampa yule mwanamke km ile hela ningekuwa naizungusha kwenye biashara zangu ningekuwa wapi?....
Ila sasa hivi kila shilling yangu ni muhimu naona mafanikio yake
Asante sana Mkuu, vijana wengi wanatakiwa walielewe hili somoNa ndio maana ukianza mahusiano rasmi ya kuelekea kwenye ndoa, Make sure ushamalizana na shida za mahusiano kama ku fall in love na mengineyo, so funga ndoa kwa minajili ya familia tuu na sio ma love loveee, otherwise utapata shida sana, unaingia kwenye ndoa hujatafuna na wala haujawahi kuwa na zaidi ya mahusiano hata zaidi ya ke 10, lazima upate shida sana.
Kabisa Mkuu.. sema siku hizi nishastuka hivi vitoto navikataa kinoma!Ha
tatari sana mkuu.... inaonekana shetani kashaua udhaifu wako chura kubwa tu mzee.... anakuskilizia tu upate mkwanja akusogezee chura kubwa.... ila tukomae wazee sio siri wanawake wanatukwamisha sana