Ukitaka Fursa ni lazima uwe Fursa

Ukitaka Fursa ni lazima uwe Fursa

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Ukiitiwa Fursa Ujue wewe ni Fursa.

Je umewahi kuitiwa Fursa?Je umewahi kujiuliza kama ni fursa kweli kwa nini haitumii mwenyewe?Je umekuwa mtu wa wasi kila mara unapoona fursa na kuhisi kuwa unapoteza?Kama jibu ni Ndio Basi hauko peke yako.Wako wengi sana ambao wamejikuta katika mtego huo ni kujikuta wakipoteza fursa kwa sababu ya kuwa FURSA.

Mwaka 2009 niliitiwa fursa ambayo ilikuwa inahusu biashara ndogo iliyohitaji mtaji mdogo ambao ulikuwa ndani ya uwezo wangu,kwa sababu ya kufikiri kwamba kila fursa unayoitiwa basi na wewe ni fursa nilipuuza.Miaka 7 baadae yule bwana aliyeniita fursa alikuwa akitengeneza 6 figures kwa fursa ile ile.

Fursa ni nini?Ili fursa ikamilike na kuwa fursa lazima iwe na sifa kuu zifuatazo:

Kwanza lazima uielewa vizuri inahusu nini?
Pili uelewe kiwango cha risk utakachoweka
Pia uelewe kiwango cha faida unachoweza pata
Pia uelewe ukomo wa fursa
Uelewe urahisi na ugumu wa fursa yenyewe

Fursa nyingi zinaweza kuwa mpya kwako lakini zimekuwepo muda mrefu kabla.Ni muhimu ukatafiti kabla ili kufahamu Fursa husika ni zipi na faida zake.

Karibuni tujadili kwa pamoja namna bora za kutambua fursa sahihi na kuzitumia
 
Kwanza lazima uielewa vizuri inahusu nini?
Pili uelewe kiwango cha risk utakachoweka
Pia uelewe kiwango cha faida unachoweza pata
Pia uelewe ukomo wa fursa
Uelewe urahisi na ugumu wa fursa yenyewe

Fursa nyingi zinaweza kuwa mpya kwako lakini zimekuwepo muda mrefu kabla.Ni muhimu ukatafiti kabla ili kufahamu Fursa husika ni zipi na faida zake.

Karibuni tujadili kwa pamoja namna bora za kutambua fursa sahihi na kuzitumia
Karibuni tujadili kwa pamoja namna bora za kutambua fursa sahihi na kuzitumia
 
Hakuna anayekupa fursa bila kujua utamfaidisha vipi.

Nakaa napiga hesabu, nikikushirikisha fursa hii mimi nitafaidika vipi na uwepo wako. Nikiona huna cha kuniongezea nakupotezea.

Hivyo dhana ya ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndiyo fursa, ni kweli kabisa muhimu tu kutambua ni kwa kiwango gani utaifadika. Kama inalipa ingia, kama itakuumiza sana una achana nayo
 
Hakuna anayekupa fursa bila kujua utamfaidisha vipi.

Nakaa napiga hesabu, nikikushirikisha fursa hii mimi nitafaidika vipi na uwepo wako. Nikiona huna cha kuniongezea nakupotezea.

Hivyo dhana ya ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndiyo fursa, ni kweli kabisa muhimu tu kutambua ni kwa kiwango gani utaifadika. Kama inalipa ingia, kama itakuumiza sana una achana nayo
Mkuu unacho ongea ni kweli mi mwenyewe kwangu natamani kuwafundisha vijana fursa niliyo nayo ambayo inaingiza pesa ya kutosha na uhitaji wake sokoni ni mkubwa sana

Pia mtaji wake kwa kuanzia ni chini ya 50,000 lakini unaweza kutengeneza faida kubwa zaidi ya 200,000 kwa wiki na hapo ume kula gharama za nauli kufanya delivery kwa wateja imetoka ina maana kama mteja ana weza kuku lipia nauli una pata zaidi ya hiyo

Sasa ili mtu apatiwe huo ujuzi wa biashara hiyo lazima mtu alipie nimpe ujuzi wa kufanya hiyo project na nikwamba una jiajiri una fanya biashara yako mwenyewe

Unaenda kununua mali ghafi kiwandani una tengeneza bidhaa zako una uza mwenyewe

Mtu ukimwambia habari ya kulipia Ada ya mafunzo anaona una nufaika sana kwa pesa yake bila kujua kuwa usipo kuwa tayari kutoa ili upate huwezi kupata kilicho bora uta baki kujizungusha zungusha na makapi

Kupata kizuri lazima ulipe gharama
 
Mkuu unacho ongea ni kweli mi mwenyewe kwangu natamani kuwafundisha vijana fursa niliyo nayo ambayo inaingiza pesa ya kutosha na uhitaji wake sokoni ni mkubwa sana

Pia mtaji wake kwa kuanzia ni chini ya 50,000 lakini unaweza kutengeneza faida kubwa zaidi ya 200,000 kwa wiki na hapo ume kula gharama za nauli kufanya delivery kwa wateja imetoka ina maana kama mteja ana weza kuku lipia nauli una pata zaidi ya hiyo

Sasa ili mtu apatiwe huo ujuzi wa biashara hiyo lazima mtu alipie nimpe ujuzi wa kufanya hiyo project na nikwamba una jiajiri una fanya biashara yako mwenyewe

Unaenda kununua mali ghafi kiwandani una tengeneza bidhaa zako una uza mwenyewe

Mtu ukimwambia habari ya kulipia Ada ya mafunzo anaona una nufaika sana kwa pesa yake bila kujua kuwa usipo kuwa tayari kutoa ili upate huwezi kupata kilicho bora uta baki kujizungusha zungusha na makapi

Kupata kizuri lazima ulipe gharama
Mmekuja kivingine leo? opss....! Umekuja kivingine leo? Masokotz a.k.a. Digital base
 
Mmekuja kivingine leo? opss....! Umekuja kivingine leo? Masokotz a.k.a. Digital base
Swala si kuja kivingine tuna tofautiana sana katika fikra na Kuna watu imani zao ziko chini sana,ni sawa ume egemea zaidi kwenye negative

Na hicho unacho kipigia promo sicho hiyo Digital Marketing nimetoa ushuhuda kwakuwa ina nisaidia Katika shughuri zangu kutangaza biashara yangu na kweli napata soko kubwa kipato cha uhakika kulingana na level yangu.

Nilikwambia nipe number yako niku unganishe kwenye groups zangu za mauzo uone kama nnacho kisema ni promo tu ama vipi

Biashara yangu natengeneza dawa za kung'arisha Tiles na Masink natumia mitandao ya kijamii kujitangaza na kweli napata sana wateja sasa wewe kinacho kuumiza akili yako ni nini?

Lengo langu kuwa hamasisha wajasiriamali wadogo watumie mitandao ya kijamii kujitangaza ili wapate faida zaidi naona mwenzetu una teseka na mafanikio ya wenzako
 
Mmekuja kivingine leo? opss....! Umekuja kivingine leo? Masokotz a.k.a. Digital base
Screenshot_20211209-205620.png
Screenshot_20211209-225438.png


Kuna watu mnajifanya much know unabisha kitu ambacho hujui ukweli wake nakwambia nipe number nikuunge kwenye groups zangu za mauzo uone hutaki naona una teseka sana pole
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kwakweli mkuu wabishi sana wanajifanya wajuaji kumbe hamna kitu

Mtu anabisha kikubwa muda usogee kwake kupunguza stress zinazo msumbua maana hata hapo ukute mtu anawaza ajira zama hizi
 
Uko sahihi, ukitaka utoe ujinga lazima ulipie ada ya shule/chuo; walimu wapate mishahara na wewe pia upate ujuzi. Ukitaka usikie neno la kiimani lazima utoe sada. Hakuna kitu cha bure dunia hii.
 
Mkuu unacho ongea ni kweli mi mwenyewe kwangu natamani kuwafundisha vijana fursa niliyo nayo ambayo inaingiza pesa ya kutosha na uhitaji wake sokoni ni mkubwa sana

Pia mtaji wake kwa kuanzia ni chini ya 50,000 lakini unaweza kutengeneza faida kubwa zaidi ya 200,000 kwa wiki na hapo ume kula gharama za nauli kufanya delivery kwa wateja imetoka ina maana kama mteja ana weza kuku lipia nauli una pata zaidi ya hiyo

Sasa ili mtu apatiwe huo ujuzi wa biashara hiyo lazima mtu alipie nimpe ujuzi wa kufanya hiyo project na nikwamba una jiajiri una fanya biashara yako mwenyewe

Unaenda kununua mali ghafi kiwandani una tengeneza bidhaa zako una uza mwenyewe

Mtu ukimwambia habari ya kulipia Ada ya mafunzo anaona una nufaika sana kwa pesa yake bila kujua kuwa usipo kuwa tayari kutoa ili upate huwezi kupata kilicho bora uta baki kujizungusha zungusha na makapi

Kupata kizuri lazima ulipe gharama
Taja hiyo fursa tuichangamkie
 
Back
Top Bottom