Uchaguzi 2020 Ukitaka kipindi hiki kupata fedha kirahisi

Uchaguzi 2020 Ukitaka kipindi hiki kupata fedha kirahisi

Hii ndio alipanga kuifanya Lugano pale Segerea... Kama alifanikiwa sijui [emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani ukisikia wanachochangia huko bungeni ni kupaniki tu. Sasa ukitaka kuwapa watu ugonjwa wa moyo wewe waambie nagombea kwa ticket ya chama cha CCM. Yaani hasa wa bunge wa ccm itakuwa full stress . Uwaambie nimepata kibali toka ngazi za juu
 
Yaani ukisikia wanachochangia huko bungeni ni kupaniki tu. Sasa ukitaka kuwapa watu ugonjwa wa moyo wewe waambie nagombea kwa ticket ya chama cha CCM. Yaani hasa wa bunge wa ccm itakuwa full stress . Uwaambie nimepata kibali toka ngazi za juu
Weee jamaa bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hichi kipindi cha Corona ndo cha kutengeneza pesa unakusanya mzigo unatunza Corona ikiisha biashara zikirejea unapiga mara nne faida
 
Back
Top Bottom