Yaani ukisikia wanachochangia huko bungeni ni kupaniki tu. Sasa ukitaka kuwapa watu ugonjwa wa moyo wewe waambie nagombea kwa ticket ya chama cha CCM. Yaani hasa wa bunge wa ccm itakuwa full stress . Uwaambie nimepata kibali toka ngazi za juu
Yaani ukisikia wanachochangia huko bungeni ni kupaniki tu. Sasa ukitaka kuwapa watu ugonjwa wa moyo wewe waambie nagombea kwa ticket ya chama cha CCM. Yaani hasa wa bunge wa ccm itakuwa full stress . Uwaambie nimepata kibali toka ngazi za juu