Ukitaka kufanikiwa kwenye biashara zako usipende kuonekana sana kwenye hizo biashara

Ukitaka kufanikiwa kwenye biashara zako usipende kuonekana sana kwenye hizo biashara

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Hii ni siri nakupa kama unataka kufanikiwa

Wafanyabiashara wengi tunapenda kuonekana kwenye biashara zetu bila sababu ndio upelekea kuishindwa au kuanguka.

Wafanyabiashara wakubwa hawapendi kuonekana kwenye biashara zao kukwepa lawama au kuzoeleka na wafanyakazi na wateja.

Kwa nini?

Ukionekana kwenye biashara zako kama unamitaji mikubwa kuna haya:
  • Biashara za mazoea zinaanza kwa sababu wanaona wanakumudu.
  • Wakopaji wanaongezeka na mali kauli zisizo na muelekeo.
  • Shida za wanaokuzunguka zitaanza.
Hii ni kweli wala sio uongo na watu wengi wamefanikiwa sana na wanaogopwa kwenye biashara zao
 
Tayari umeshasema ni mfanyabiashara mkubwa, jambo ambao liko wazi kabisa......vipi kwa mfanyabiashara mdogo.
 
Hii ni siri na kupa kama unataka kufanikiwa

Wafanyabiashara wengi tunapenda kuonekana kwenye biashara zetu bila sababu ndio upelekea kuishindwa au kuanguka.

Wafanyabiashara wakubwa hawapendi kuonekana kwenye biashara zao kukwepa lawama au kuzoeleka na wafanyakazi na wateja.

Kwa nini?

Ukionekana kwenye biashara zako kama unamitaji mikubwa kuna haya:
  • Biashara za mazoea zinaanza kwa sababu wanaona wanakumudu.
  • Wakopaji wanaongezeka na mali kauli zisizo na muelekeo.
  • Shida za wanaokuzunguka zitaanza.
Hii ni kweli wala sio uongo na watu wengi wamefanikiwa sana na wanaogopwa kwenye biashara zao
Aiseeee.... Mwamedi hashindi kwenye maduka yake ila kila muda yupo mitandaoni kujimwambafai
 
Hii ni siri na kupa kama unataka kufanikiwa

Wafanyabiashara wengi tunapenda kuonekana kwenye biashara zetu bila sababu ndio upelekea kuishindwa au kuanguka.

Wafanyabiashara wakubwa hawapendi kuonekana kwenye biashara zao kukwepa lawama au kuzoeleka na wafanyakazi na wateja.

Kwa nini?

Ukionekana kwenye biashara zako kama unamitaji mikubwa kuna haya:
  • Biashara za mazoea zinaanza kwa sababu wanaona wanakumudu.
  • Wakopaji wanaongezeka na mali kauli zisizo na muelekeo.
  • Shida za wanaokuzunguka zitaanza.
Hii ni kweli wala sio uongo na watu wengi wamefanikiwa sana na wanaogopwa kwenye biashara zao
Unaweza usionekane halafu watu wakapata nafasi ya kukuibia vizuri.
 
Unaweza usionekane halafu watu wakapata nafasi ya kukuibia vizuri.

Hapana !.mimi ni mfanyabiashara miiko ya biashara utakiwi ili kanuni za brand yako zibaki na maelekezo.

Ukujua hili angalia makampuni makubwa
 
Kikubwa onekana kwenye biashara yako. Nidhamu ndio chanzo cha mafanikio yako.

Unaweza usionekane kumbe vijana stock ikiisha wanaweka yao wanauza ndio wanakuja kushitua.

Kama wewe ni chinga utafanya biashara gani ya bila kuonekana
 
Kikubwa onekana kwenye biashara yako. Nidhamu ndio chanzo cha mafanikio yako.

Unaweza usionekane kumbe vijana stock ikiisha wanaweka yao wanauza ndio wanakuja kushitua.

Kama wewe ni chinga utafanya biashara gani ya bila kuonekana

Unavofikiria sivo ndivo .tuna mmiliki mkubwa hapa wa basi fresta lakini uwezi kuona .na kwa nini
kafika malengo nimekupa sample
 
Hii inategemeana na aina ya biashara au mifumo uliyojiwekea....ila kwa biashara ndogo ndogo au kubwa zinazoinvolve cash Sana muhimu kuwepo...Kuna biashara moja mtu kafunga CCTV camera na riport inaendana kinachoonekana kwenye camera na hayupo hapo kwenye biashara Lakini kila kitu kinaenda sawa ..so it's depend

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom