Ukitaka kuishi maisha marefu usioe

Ukitaka kuishi maisha marefu usioe

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Naleta kisa kimoja au viwili kutetea uzi wangu.

Baba mmoja mtumishi wa mamlaka moja ya serikali ana kawaida ya kumpa mke Tsh. 300k ya matumizi yake binafsi kama mke kila anapopata mshahara. Hiyo pesa haina mahusiano na pesa za matumizi ya nyumbani.

Pia kampa fedha mke wake afungue miradi. Mke anaingiza faida ya angalau elfu 30 kila siku. Mwezi mmoja mambo yaliingiliana, baba akampa mke pesa pungufu, alimpa laki 2 badala ya tatu kama alivyozoea. Uliibuka ugomvi mkubwa sana.

Yaani kazi ufanye wewe, ulishe familia, usomeshe familia, nk, na umpe mke mtaji na laki tatu kila mwezi lakini umefeli mara moja tu unawashiwa moto. Vijana kataeni ndoa. Mtakufa.

Kisa kingine naona kazi kusimulia ila mwisho wa picha baba mstaafu kaibiwa pesa za mafao na mke wake kisha mke kumwachia nyumba na watoto. Mzee kabaki na hali ngumu.

Vijana wenye uhakika na maisha msioe.
 
Naleta kisa kimoja au viwili kutetea uzi wangu.
Baba mmoja mtumishi wa mamlaka moja ya serikali ana kawaida ya kumpa mke sh.300k ya matumizi yake binafsi kama mke kila anapopata mshahara.
Hiyo pesa haina mahusiano na pesa za matumizi ya nyumbani.
Pia kampa fedha mke wake afungue miradi. Mke anaingiza faida ya angalau elfu 30 kila siku.
Mwezi mmoja mambo yaliingiliana, baba akampa mke pesa pungufu, alimpa laki 2 badala ya tatu kama alivyozoea. Uliibuka ugomvi mkubwa sana.
Yaani kazi ufanye wewe, ulishe familia, usomeshe familia, n.k na umpe mke mtaji na laki tatu kila mwezi lakini umefeli mara moja tu unawashiwa moto.
Vijana kataeni ndoa. Mtakufa.
Kisa kingine naona kazi kusimulia ila mwisho wa picha baba mstaafu kaibiwa pesa za mafao na mke wake kisha mke kumwachia nyumba na watoto.
Mzee kabaki na hali ngumu.
Vijana wenye uhakika na maisha msioe.
😁😁😁 Uzuri tushashtuka longtime sana mkuuu asante kwa visa
 
3b521cc4-fce7-4b3f-bf6e-f1c92a90fb78.jpg
 
Naleta kisa kimoja au viwili kutetea uzi wangu.
Baba mmoja mtumishi wa mamlaka moja ya serikali ana kawaida ya kumpa mke sh.300k ya matumizi yake binafsi kama mke kila anapopata mshahara.
Hiyo pesa haina mahusiano na pesa za matumizi ya nyumbani.
Pia kampa fedha mke wake afungue miradi. Mke anaingiza faida ya angalau elfu 30 kila siku.
Mwezi mmoja mambo yaliingiliana, baba akampa mke pesa pungufu, alimpa laki 2 badala ya tatu kama alivyozoea. Uliibuka ugomvi mkubwa sana.
Yaani kazi ufanye wewe, ulishe familia, usomeshe familia, n.k na umpe mke mtaji na laki tatu kila mwezi lakini umefeli mara moja tu unawashiwa moto.
Vijana kataeni ndoa. Mtakufa.
Kisa kingine naona kazi kusimulia ila mwisho wa picha baba mstaafu kaibiwa pesa za mafao na mke wake kisha mke kumwachia nyumba na watoto.
Mzee kabaki na hali ngumu.
Vijana wenye uhakika na maisha msioe.
Sio kila mwanamke yupo hvyo
 
Kiasili wanawake ni makatili, wabinafsi na wanyonyaji.

Kinachotuponza ni hii mibichwa yetu ya chini tu. Ila kuishi na mwanamke ni sawa na kunywa sumu halafu utarajie kutokufa.

Kuna kipindi huwa namuangalia wa kwangu akikoroma kwa amani kabisa baada ya kunitibulia siku bila sababu ya msingi, najikuta natamani nimuwekee mto wa uso mpaka akate moto.

Cha ajabu sasa anaweza akaamka na kuamua kukufanya ujihisi pepo yote yako ukiwa na yeye. Uwezo wao wa kukera unashabihiana moja kwa moja na uwezo wao wa kukufanya ujihisi kidume na furaha tele.
Kikubwa ni kuishi nao kwa akili tu.
 
Back
Top Bottom