Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Kwa sababu ya Manara ilibidi Yanga watafute kikundi cha wapiga kelele angalu wapambane naye. Lakini sasa Yanga itkwenda kuwa juu sana.
Msimu ujao ulimuhitaji sana Manara. Yanga itakua imara sana, hapo ndipo malalamiko fc itakia Simba.
Jina Topolo litageuka kuwa Simba au kupotea
Tujiulize, Mabilioni 20 bila hamasa ya mshabiki yatafaa nini?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Msimu ujao ulimuhitaji sana Manara. Yanga itakua imara sana, hapo ndipo malalamiko fc itakia Simba.
Jina Topolo litageuka kuwa Simba au kupotea
Tujiulize, Mabilioni 20 bila hamasa ya mshabiki yatafaa nini?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app