Ukitaka kujua corona ni fake, "false flag” angalia maandamano Marekani, no social distancing!

Ukitaka kujua corona ni fake, "false flag” angalia maandamano Marekani, no social distancing!

Kwa hiyo hata wale waliokufa kwa korona nchi mbalimbali duniani wamefake vifo vyao?

Anayeamua kilichokuuwa ni anayeandika hati ya kifo chako, hata ukifa kwa mshtuko wa Moyo anaweza akaandika vinginevyo, ...
 
It's so sad MTU Mkongwe kama wewe hapa na mwenye upeo unaanza kubebw na conspiracy za aina hio.
How come kweli uamini kuwa corona is fake?
Wale watu wote waliokufa Spain walikuwa wanaigiza!?
Saudi Arabia misikiti ikafungwa.
Vatican Roma Pope akafunga.
Serious umeshindwa kupambanua kwa akili ndogo tu.

Hapo wana US wana stress za lockdown, ajira hawana wamepoteza, a wengine wamekuwa evicted kwenye apartment zao. Kwa hio wakipata chance za kwenda kuzurura nje kwa hivyo Basi wanatoka kwa wingi.

Ulivyooongea mkuuu kwa mbali nimepata mwangaza kuhusu huu ugonjwa kwamba wamarecani wanafanya hivyo ili wapotezee muda Tu kwenye hayo maandamano,hawana kazi,hawana pa kulala hawana hela,TATIZO UMETUMIA LUGHA CHAFU KUTUKANA SIO KUFUNDISHANA MKUU!
 
It's so sad MTU Mkongwe kama wewe hapa na mwenye upeo unaanza kubebw na conspiracy za aina hio.
How come kweli uamini kuwa corona is fake?
Wale watu wote waliokufa Spain walikuwa wanaigiza!?
Saudi Arabia misikiti ikafungwa.
Vatican Roma Pope akafunga.
Serious umeshindwa kupambanua kwa akili ndogo tu.

Hapo wana US wana stress za lockdown, ajira hawana wamepoteza, a wengine wamekuwa evicted kwenye apartment zao. Kwa hio wakipata chance za kwenda kuzurura nje kwa hivyo Basi wanatoka kwa wingi.
Kumuelewesha huyo jamaa huo muda ni bora tu ukajichue mzee baba.
 
Kwa nini sasa USA yote hakuna social distancing kwenye maandamano tena kutoka wale wale waliotuambia tufanye lockdown?
Wanavunja sheria, kwa sababu nilizozitaja hapo juu. Na ndio maana Mimi mingine nayo. Ili erupt faster sana. Na serikali z majimbo zinahangaika kuya control
 
Anayeamua kilichokuuwa ni anayeandika hati ya kifo chako, hata ukifa kwa mshtuko wa Moyo anaweza akaandika vinginevyo, ...
Kwa hiyo watu zaidi ya laki 1 US wamekufa kwa sababu nyingine tofauti na korona...na huko Italy, Spain, Iran (wabishi), n.k?

Ila nimecheka mwenyewe baada ya kuona hoja uliyotoa kuwa kutokuwepo social distancing kama ndio kigezo cha corona kuwa fake.

Huwenda wajitahidi ku-justify mawazo ya mtu fulani yaonekane ni sahihi.
 
Huwezi kusema corona ni fake kwa kuangalia hayo maandamano,watu wanatofautiana kuna wengine hawajali liwalo na liwe ndo kama hao wanaoandamana kuna wengine wamejifungia kuna wengine wanafata maelekezo yote ya kujilinda. So hayo maandamano ya watu wachache hivyo ndo u conclude population yote ya USA?
 
Labda utupe elimu mkuu,
Kama ni hoax je ni kwa faida ya nani na lengo hasa ni lipi?
Lengo kuuza ventilators na hizo PPEs( hujiulizi vipi ugonjwa uanze tu na mashine maalumu tayari zitengezwe Walifanya tafiti lini).kuteteresha uchumi wa baadhi ya nchi hivyo kuuziingiza nchi kwenye mikopo..kuuza chanjo(nafikiri ulimsikia battle Kati ya Marekani na ufaransa kwenye hili suala) n.k
 
Corona sio fake,is real..Ila tu kuna baadhi ya measures kama total lock down sio nzuri...
 
Back
Top Bottom