Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's so sad MTU Mkongwe kama wewe hapa na mwenye upeo unaanza kubebw na conspiracy za aina hio.
How come kweli uamini kuwa corona is fake?
Wale watu wote waliokufa Spain walikuwa wanaigiza!?
Saudi Arabia misikiti ikafungwa.
Vatican Roma Pope akafunga.
Serious umeshindwa kupambanua kwa akili ndogo tu.
Hapo wana US wana stress za lockdown, ajira hawana wamepoteza, a wengine wamekuwa evicted kwenye apartment zao. Kwa hio wakipata chance za kwenda kuzurura nje kwa hivyo Basi wanatoka kwa wingi.
O.k. sawasawa waache wafe mabeberu haoWatu wanakufa kila siku maelfu kwa maelfu, ...
Kumuelewesha huyo jamaa huo muda ni bora tu ukajichue mzee baba.It's so sad MTU Mkongwe kama wewe hapa na mwenye upeo unaanza kubebw na conspiracy za aina hio.
How come kweli uamini kuwa corona is fake?
Wale watu wote waliokufa Spain walikuwa wanaigiza!?
Saudi Arabia misikiti ikafungwa.
Vatican Roma Pope akafunga.
Serious umeshindwa kupambanua kwa akili ndogo tu.
Hapo wana US wana stress za lockdown, ajira hawana wamepoteza, a wengine wamekuwa evicted kwenye apartment zao. Kwa hio wakipata chance za kwenda kuzurura nje kwa hivyo Basi wanatoka kwa wingi.
Wanavunja sheria, kwa sababu nilizozitaja hapo juu. Na ndio maana Mimi mingine nayo. Ili erupt faster sana. Na serikali z majimbo zinahangaika kuya controlKwa nini sasa USA yote hakuna social distancing kwenye maandamano tena kutoka wale wale waliotuambia tufanye lockdown?
Huwezi kuchangia bila kutukana ,sheria mpya za jf zifanye kazi sasaUna akili kidogo sana. Unajua maana ya incubation period ya infection? Fikiri kabla ya kuandika, fikiri please!
Ngoja niende Kule kula tunda kimasihara nikachukue stimKumuelewesha huyo jamaa huo muda ni bora tu ukajichue mzee baba.
Mataga acha porojo zako hapa.Magufuli kajitahidi sana
Kwa hiyo watu zaidi ya laki 1 US wamekufa kwa sababu nyingine tofauti na korona...na huko Italy, Spain, Iran (wabishi), n.k?Anayeamua kilichokuuwa ni anayeandika hati ya kifo chako, hata ukifa kwa mshtuko wa Moyo anaweza akaandika vinginevyo, ...
Fanya hima kamanda.Ngoja niende Kule kula tunda kimasihara nikachukue stim
Mataga acha roho mbaya, ndio maana mlimuua Ben saanane kW roho zenu mbayaO.k. sawasawa waache wafe mabeberu hao
Lengo kuuza ventilators na hizo PPEs( hujiulizi vipi ugonjwa uanze tu na mashine maalumu tayari zitengezwe Walifanya tafiti lini).kuteteresha uchumi wa baadhi ya nchi hivyo kuuziingiza nchi kwenye mikopo..kuuza chanjo(nafikiri ulimsikia battle Kati ya Marekani na ufaransa kwenye hili suala) n.kLabda utupe elimu mkuu,
Kama ni hoax je ni kwa faida ya nani na lengo hasa ni lipi?