Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Yap kwenye hiyo list kutakua na kipengere cha loan allocation, kama ilivyo kua 2010 na 2011 labda mwaka huu wabadirishe utaratibu

maybe mkuu ila jamaa anasema kitu kitatoka tofouti
 
Bila mkopo ni sawa na kunyimwa chuo 2

Umeonaeeee hebu fikiria mtu anatoka KIGOMA VIJIJINI kachaguliwa UDSM, hana hata ndugu Dar halafu kakosa mkopo na hali ya maisha ndo hivyo tena!!
 
Kweli mkopo ndo mpango mzima,chuo bila mkopo kwa wenzangu na mimi ni sawa na bure.
 
Kaka tatzo wakubwa wanawekana wa2 hambao hawana utaalam ucka ndo mana 2naishia kuumzwa manyanga ya wa2 wasio na utaalam
 
:yawn: nilikuwa nimeshaanza kuchoka kuyasubiria. natumaini hili ni la ukweli
 
website ya TCU kwa sasa imekua ni mzigo tu......siku ya 5 leo haifunguki.
 
Yatakuwa yametoa mustakabali wa elimu ya sisi formsixlivaz coz hom panachosha mnoo sensa yenyewe majinayetu yamewekwa kwenyee..................in
 
Back
Top Bottom