Ukitaka kujua kama una upungufu wa akili au la pitia hapa

Kila siku najiona siko vizuri kichwani lakini hii picha mbona imetulia! Inacheza kidogo tu pale ninapozungusha simu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Umetukamta wakati macho yanatafuta kuona vizuri kitu chochote ni lazima kizunguke (focused) ndicho kinachotokea hapo
 
Mi ndo naona inazunguka hadi najihisi nazunguka na mimi kizungu zungu chake... ila mbona nati zote kichwani zipo sawa!!!???
 
Wagombea Ubunge Jimbo la Kinondoni wangekaa mbele yetu kisha waitizame hiyo na tupate ' mrejesho ' hapo hapo wala hivi sasa tusingesumbuka na Kampeni na badala yake tungeshamjua ' zisiyemtosha ' na ' zinayemtosha ' na tarehe 17 Mwezi huu ( February ) tungekuwa na Kazi moja tu ya kumpitisha rasmi atuongoze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…