Ukitaka kujua msichana wa chuo hakutaki tena haya ndiyo majibu yao

Mkuu pole sana, yaelekea yamekukuta maswaibu ya kutosha kwenye anga hizo. Thanks for your experience.
 
Halafu options zote ni za mtindo wa panya "kula na kupulizia" ukishtuka umepona!
 
Hata wale unaodhani wana hofu ya Mungu nao wamekua mbwa walivaa ngozi ya kondoo, duh! inatisha wadau.
 
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !

Siyo wote
 
Mi nadhani si wote, na tabia ya mtu ni hulka yake. Wapo wa dada chuo wanajiheshimu sana na hawana tabia km hizo. Sikatai kuwa wapo wa hvyo but not ALL.
 

Acha mambo yako we jamaa, kupigwa kwako kibuti kusi'genalize madem zetu!
 
hapa ni mwendo wa ushabiki km ccm na chadema sasa.
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…