Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Ahaaa,kamanda mkuu mbona unafeli? Kwani taarifa ambazo sio siri haziwezi kudukuliwa na kubadilishwa?Kitu ambacho sio siri kitadukuliwa vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa,kamanda mkuu mbona unafeli? Kwani taarifa ambazo sio siri haziwezi kudukuliwa na kubadilishwa?Kitu ambacho sio siri kitadukuliwa vipi?
Huko hamfahamu kuwa ni sehemu ya Tanzania hata mnaongea kama sisi wengine ni Wanyarwanda ama Warundi, kwani vipi, au kuna ujumbe gani mahsusi mnataka tuupate.Mfumo wa chama kimoja unaendekeza tabia ya kuoneana aibu na huruma.
Yanayoendelea pale Unguja utadhani awamu iliyopita iliongozwa na upinzani kumbe walikuwepo CCM peke yao barazani na Serikalini.
Nyie vijana wadogo akina Tindo, Mrangi na wadogo zenu kajifunzeni Zanzibar.
Maendeleo hayana vyama!
Zikabadilishwa ili ziweje? Hebu nipe mfano labda wewe umejaza una nyumba moja na magari mawili. Mtu akidukua anabadili nini labda.Ahaaa,kamanda mkuu mbona unafeli? Kwani taarifa ambazo sio siri haziwezi kudukuliwa na kubadilishwa?
Huyo yuko kama ile sigara nyota, unawasha kote kote.Hivi sio wewe ambaye huwa unaleta nyuzi za kushangilia upinzani unakufa au umekufa?[emoji848]mbona hueleweKi!!
Kama lile toto pendwaKuna vigogo kadhaa mfano RCs2 wamekuwa mamilionea gafla awamu ya tano.