Kudadadadeki ngoja nitest
Naona kama internet cafe mbali vile, sijui nimuamini nani??
Naona kama internet cafe mbali vile, sijui nimuamini nani??
Naona kama internet cafe mbali vile, sijui nimuamini nani anichekie??
Nimeshapata homa bhandugu, sijui nianze kulia.
mkuu nilijua na wewe upo katika ile list ya udsm iliyokuwa posted humu jf...
Jamani tupeane pole!! ndo imesha kula kwangu
Vipi wamekuandikiaje kaka?