Ukitaka kujua upendo wa dhati leo hii............

Ukitaka kujua upendo wa dhati leo hii............

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,308
WanaJF,

Napenda kutoa angalizo kidogo, ukitaka kufahamu upendo wa kweli usipokee zawadi yoyote kutoka kwa mpenzi wako we mwambie mbadilishane simu siku ya leo yaani tarehe 14.02.2011. Utajua mpo wangapi na nafasi yako ipo wapi.

Tahadhari.

Agalia usije ukazimia au kunywa sumu kwa simu zitakazopigwa na meseji zitakazoingia.
 
Shossi bana........tukikuta tusioyatarajia tufanyeje??:laugh::laugh:
 
Shossi bana........tukikuta tusioyatarajia tufanyeje??:laugh::laugh:

Uyachukue kama changamoto ujiulize wapi unakosea ujipange ikifika 14.02.2112 uangalie tena kuona msg zimepungua au zimezidi lol
 
WanaJF,

Napenda kutoa angalizo kidogo, ukitaka kufahamu upendo wa kweli usipokee zawadi yoyote kutoka kwa mpenzi wako we mwambie mbadilishane simu siku ya leo yaani tarehe 14.02.2011. Utajua mpo wangapi na nafasi yako ipo wapi.
Tahadhari.
Agalia usije ukazimia au kunywa sumu kwa simu zitakazopigwa na meseji zitakazoingia.

Mi kweli simu ya mtu sitaki na yangu hapana toa. Utakuwaje peke yako wakati dunia imejaa watu🙂))
 
Leo ni siku ya VIBUTI, kuanzia kesho mtaona humu jamvini makala nyiiiingi juu ya wapenzi/mapenzi mh!
 
Back
Top Bottom