Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
WanaJF,
Napenda kutoa angalizo kidogo, ukitaka kufahamu upendo wa kweli usipokee zawadi yoyote kutoka kwa mpenzi wako we mwambie mbadilishane simu siku ya leo yaani tarehe 14.02.2011. Utajua mpo wangapi na nafasi yako ipo wapi.
Tahadhari.
Agalia usije ukazimia au kunywa sumu kwa simu zitakazopigwa na meseji zitakazoingia.
Napenda kutoa angalizo kidogo, ukitaka kufahamu upendo wa kweli usipokee zawadi yoyote kutoka kwa mpenzi wako we mwambie mbadilishane simu siku ya leo yaani tarehe 14.02.2011. Utajua mpo wangapi na nafasi yako ipo wapi.
Tahadhari.
Agalia usije ukazimia au kunywa sumu kwa simu zitakazopigwa na meseji zitakazoingia.