hivi kale ka babu hakaisomi hii sredi....
lets live a teenage dream mamito!
Duh hii kali ya mwaka yaani mwezetu unafanyia watu hisani wasio kuwa na wenza?
wanajf,
napenda kutoa angalizo kidogo, ukitaka kufahamu upendo wa kweli usipokee zawadi yoyote kutoka kwa mpenzi wako we mwambie mbadilishane simu siku ya leo yaani tarehe 14.02.2011. Utajua mpo wangapi na nafasi yako ipo wapi.
Tahadhari.
Agalia usije ukazimia au kunywa sumu kwa simu zitakazopigwa na meseji zitakazoingia.
Sio kila anaetuma ni mpenzi wa kimahusiano!Au wapenzi washkaji wao hawaruhusiwi kutuma?
wachache wanaweza hiyo aisee...
sio hivyo ila kitu ni kujiamini ndugu yangu!!
Ushasema simu yangu sasa mi nimpe yeye ya nini?Kama mtu unajiamini unampa tu simu yako akae nayo kama haujiamini shughuli ndio inaanzia hapo
Utawajua tu kwa matendo yao....Mara hii wamekwishaanza l.o.lUshasema simu yangu sasa mi nimpe yeye ya nini?
Ushasema simu yangu sasa mi nimpe yeye ya nini?
Utawajua tu kwa matendo yao....Mara hii wamekwishaanza l.o.l
Ivi imani inapimwa kwa simu? mi sikulijua hili mkuu!!Hujiamini Kimey ndio maana umekuja na hiyo sentensi.............
atakuwa hai? lolUyachukue kama changamoto ujiulize wapi unakosea ujipange ikifika 14.02.2112 uangalie tena kuona msg zimepungua au zimezidi lol
Unataka ipimwe kwa Viceroy eheeeIvi imani inapimwa kwa simu? mi sikulijua hili mkuu!!
Unaanza kupanga mistari ya kujitetea Lizzy kumbe na we umo!
atakuwa hai? lol
Uyachukue kama changamoto ujiulize wapi unakosea ujipange ikifika 14.02.2112 uangalie tena kuona msg zimepungua au zimezidi lol