Inasikitisha sana kuona hatuna medali hata moja ya dhahabu taifa lote hili.
Hebu fikiria jinsi vijana wanavyoshinda gym kila siku.Fikiria uwekezaji huo hivi ni kwa ajili ya ngono tu?Ijapo hata mashindano ya ngono tukienda hatuwezi kushinda!
Hawa vijana wote wanaoshinda gym wakifanya mazoezi,lengo huwa ni nini?
Nguvu kubwa inapotezwa gym badala waende kulima mashamba.
Mshukuru mimi sio Rais ila ningekuwa Rais mngejua maana ya dikteta ni nini.
Ningesomba mabaunsa wote waende kijijini kulima,wasanii wote wanaoimba matusi na kushinda gym wangeimba matusi yao kwenye mashamba ya mpunga.
Tumeruhusu ujinga ujinga ndio unalipiwa hela wakati mambo ya msingi ya kulinufaisha taifa hatufanyi
Hebu fikiria jinsi vijana wanavyoshinda gym kila siku.Fikiria uwekezaji huo hivi ni kwa ajili ya ngono tu?Ijapo hata mashindano ya ngono tukienda hatuwezi kushinda!
Hawa vijana wote wanaoshinda gym wakifanya mazoezi,lengo huwa ni nini?
Nguvu kubwa inapotezwa gym badala waende kulima mashamba.
Mshukuru mimi sio Rais ila ningekuwa Rais mngejua maana ya dikteta ni nini.
Ningesomba mabaunsa wote waende kijijini kulima,wasanii wote wanaoimba matusi na kushinda gym wangeimba matusi yao kwenye mashamba ya mpunga.
Tumeruhusu ujinga ujinga ndio unalipiwa hela wakati mambo ya msingi ya kulinufaisha taifa hatufanyi