KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mimi ni mmoja wa watu ambao nilikataa kabsa uwepo wa SGR! Ila Vichwa ngumu wapo! MAMA ANAUPIGA MWINGI!
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao nilikataa kabsa uwepo wa SGR! Ila Vichwa ngumu wapo! MAMA ANAUPIGA MWINGI!
kuwepo inatakiwa lakini isiendeshwe na miserikali maana kutwaaaaa yanawaza upigaji tuu na sii kingine, nchi ngumu sana hiyo.
 
kuwepo inatakiwa lakini isiendeshwe na miserikali maana kutwaaaaa yanawaza upigaji tuu na sii kingine, nchi ngumu sana hiyo.
Serikali ipi!? Hii ya mama?! serikali ambayo inataka kila sifa apewe mama!? Ni lini private utasikia anamsifia mama kwenye mipango yake?! Wangeiendesha watu binafsi wala kusingekuwa na hizi mambo za kijinga
 
Back
Top Bottom