mkuu kukopa noma! Sasa saluni wataendaje?mmh?hali ilivobana kwa sasa bidada anaweza akajituma weee lakini ikifika kwenye kipengele cha ruzuku wazee kama sisi wazoefu huwa tunakula kona shaaaaaa,,,enzi za hapendwi mtu linapendwa pochi ilishapitaga kwa sasa hakunaga kivileee
mwenzio nasubiria PM hapa zenye full contacts,hadi sasa zishaingia kumi na nane.Ta Bishanga MMMMHHHHH kweli wee mkali..Sasa madada wa JF somo tayari tunawatakia mwaka mwema wa mafanikio kutoka mlipo mpaka kuhamia Bunju au Masaki.
ndo mana nimesema mchunaji asijuane kabisa na ndugu wa kike wa buzi lako,si unaona jinsi Dena usivyojua mipango yangu ya pembeni?
mshahara wa dhambi ni mauti bali karama za mungu ni uzima wa milele.
Weka maujuzi watu tukopi na kupaste bwana
Labda kama umejenga ya maboksi...mbona nshamjengea mansion bahari beach?
jamaa kama ni mpenzi wa brandy get him the best vsop usijali bei na kama ni whysky achana na ma red label we ambaa na black,blue au gold au ma chivas ya ukweli,hali kadhalika na wine dodoma wana wine high quality siku hizi kama 'The President',we wekeza tu dear italipa.
(ps: usisahau kumpokea wearing the right negligee ,see through?)
Afu leo alikutafuta sana....bora umekuja roho yake ipoe.Una hamu ya kuchunwa bishanga. Watu wenyewe hamjachunwa tu mnakuja kulia lia jf, mkichunwa itakuwaje!!
wewe tena? karibu.
by the way ukimwona Husninyo mwambie nam miss jamani,long time no see.
Afu leo alikutafuta sana....bora umekuja roho yake ipoe.