Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

aiseee umenifungua macho Bishanga! Napitia brandy sasa hivi nim surprise leo.
usisahau na kununua glass nzuri za crystal na ka hometheatre ili mzee anapoburudika na ka brandy asahau tabu za dunia .
Ps: chunga sana raha zisimzidi akalala kwako,ukiona muda unasogea fukuza,akijenga mazoea ya kuchelewa kwako home songombingo ikizuka anaweza a panic na kukuacha.
 
Una hamu ya kuchunwa bishanga. Watu wenyewe hamjachunwa tu mnakuja kulia lia jf, mkichunwa itakuwaje!!
ukisikia nalia jua nimepewa za uso ,kuchunwa starehe bana kwa nini nilalamike mtoto wa kiume?
 
ahsnt kwa taarifa afisa mawasiliano. Lol. Nataka nimchune bishanga ila usinisemee.
mradi uzingatie masharti,i promise you hutakosa kakibanda at the end of the day,nikifurahi sana hata ka scholarship ka mdogo wako kwenda malasyia nitakatumbukiza humo.
 
mradi uzingatie masharti,i promise you hutakosa kakibanda at the end of the day,nikifurahi sana hata ka scholarship ka mdogo wako kwenda malasyia nitakatumbukiza humo.

owkeey, naomba financial statements zako zote, yaani income statement, balance sheet bila kusahau cashflow! Nataka kucalculate ratio na kufanya analysis ya kukuchuna. Lol.
 
owkeey, naomba financial statements zako zote, yaani income statement, balance sheet bila kusahau cashflow! Nataka kucalculate ratio na kufanya analysis ya kukuchuna. Lol.
darling hapo ndo umechemka! Hivi unayaamini mahesabu ya wafanyabiashara wa inji hii? We angalia tu cash nakupa kiasi inatosha.
 
darling hapo ndo umechemka! Hivi unayaamini mahesabu ya wafanyabiashara wa inji hii? We angalia tu cash nakupa kiasi inatosha.

hawaaminiki ndio maana kuna auditors, usisahau kuambatanisha na source documents. Lazima nijue financial status ya client wangu kabla hatujaingia mkataba. Lol.
 
Byshernger, mbona una tamaa sana?
Yaani husy kuja tu unataka kunikimbia?

Bora nirudi kwa big house yangu, huwa hainisumbui.
 
Byshernger, mbona una tamaa sana?
Yaani husy kuja tu unataka kunikimbia?

Bora nirudi kwa big house yangu, huwa hainisumbui.

bishanga kwa kiinglish ndio hivyo eeh! Hlf hutakiwi kuwa na wivu. We kamilisha mission yako utuachie, hiyo ndio namna mpya ya income distribution. Lol.
 

JF ni zaidi ya darasa.... aisee!!
 
mmh bishanga apo umezungumzia buzi ambalo ni mume wa mtu. naomba tips za buzi bachelor maana mimi vitu used a.k.a waume za watu situmii
 
Byshernger, mbona una tamaa sana?
Yaani husy kuja tu unataka kunikimbia?

Bora nirudi kwa big house yangu, huwa hainisumbui.
usiwe hivo bana,Husn namchora tu,kwanza ana bwana.
 
bishanga kwa kiinglish ndio hivyo eeh! Hlf hutakiwi kuwa na wivu. We kamilisha mission yako utuachie, hiyo ndio namna mpya ya income distribution. Lol.

kwa hiyo dear you don't mind sharing? Raha iliyoje! Weekend karibu cape town kuna hoteli nzuri sana hapa waterfront.
 
kakae vineyard, afu usisahau kumpeleka tebo mauntain na kule kwenye penguin

kwa hiyo dear you don't mind sharing? Raha iliyoje! Weekend karibu cape town kuna hoteli nzuri sana hapa waterfront.
 
mmmh, wivu suna bibie
unakushika bila kujua.

bishanga kwa kiinglish ndio hivyo eeh! Hlf hutakiwi kuwa na wivu. We kamilisha mission yako utuachie, hiyo ndio namna mpya ya income distribution. Lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…