Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka vitu ktk uhalisia huwezi kwenda kumkopa nduguyo 1,000/= akunyime hiyo ungeweza kumuomba rafiki yako kwa ndugu utaenda kuanzia 50,000/= ambayo ukiwa na shida utaahidi hata mwezi haupiti utailipa.Tusipromote roho mbaya.Sio ndugu wote.Hebu ujikute umebanwa sehemu huna hata buku halafu umkope ndugu yako akunyime uone utakavyoumia.Tusigeneralise.
Iko hvi akitaka umkopeshe laki mbili unamwambia ntakusaidia 50k ila laki mbili Sina...unamnyima mkitindo Yani hizo ni kutakana lawama ukimkopesha umekwishaWanajukwaa kama mnavyojua kumkopesha pesa ndugu yako lolote linaweza kutokea hivyo hakikisha mnakumbatiana kwa mara ya mwisho.....
NB; Usimkopeshe ndugu yako pesa bali mpe kabisa
sahv c unazo sahau bnkabisa kuna ndugu nilimkopesha 30k kipind iko sina.pesa hakurudisha ndio kwaza alikuwa anazima simu now simkopeshi tena nili laani maana ilinikuta shida af hakuna wakunisaidia acha ty
Buku nimetolea mfano tu jinsi utakavyokuwa umepigika halafu umuombe nduguyo msaada akunyime eti kisa ndugu akopesheki.Inauma aise.Au unisaidie huku una mashaka na mimi nduguyo.Ndio maana nikasema hebu vaa uhusika ndio ww una shida ya hiyi 50000/= halafu nduguyo ajakupa 30000/= eti kisa hana uhakika kama itarudi.Basi hapo hamna undugu.Ni undugu wa mashaka.Weka vitu ktk uhalisia huwezi kwenda kumkopa nduguyo 1,000/= akunyime hiyo ungeweza kumuomba rafiki yako kwa ndugu utaenda kuanzia 50,000/= ambayo ukiwa na shida utaahidi hata mwezi haupiti utailipa.
Lakini mwezi utapita hujalipa na kadiri atakavyokuwa anakukumbusha utamuona anakusumbua simu usipokee um-block huku ukimsemea kwa ndugu zako wengine jinsi jamaa alivyo na roho mbaya kisa kukumbusha hela yake.
azo za kunitosha mwenyewe sio kukopesha wala kugawasahv c unazo sahau bn
😁😁watu wanafurahia uko ndugu yetu kajipatanin
azo za kunitosha mwenyewe sio kukopesha wala kugawa
kunae Rafik yangu kila siku hana pesa inatumika yangu nikishik cm yk kuangalia sms nakuta sms ya tigo pesa anafanya miamala tu iliniuma sanaKukopesha ndugu/rafiki ni kupoteza ndugu/rafiki na pesa.
ga simu utasikia nakuombea mdogo wangu ufanikiwe unisaidie na mm ila mm nimemchana kama.nikifanikiwa nitaangaika na wtoto wako sio ww😁😁watu wanafurahia uko ndugu yetu kajipata