BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Kwa muziki upi wa maana kwa hela hiyo!
# kidogo ft p squareKwa muziki upi wa maana kwa hela hiyo!
kama huna achaKwa muziki upi wa maana kwa hela hiyo!
tigo hata wakina ya moto wanaona tabu kuwaita..Kwa hali hii waleee wa fiesta hawatamuita nasjaskia mpaka leo atapeform wap nahis clauds wameogopa gharama kubwa sana
Diamond ndo msanii analipwa pesa nyingi kwa show africa mashariki
draft? haya mkuuHata aseme bure siwezi kupoteza muda wangu
Bora nikacheze draft
draft? haya mkuu
Acha ubishi kama hujui kitu waulize waandaaji wa matamasha east africaSi kweli